Kwa siku za karibuni mtakumbuka kuwa vyombo vya habari vya Kenya viliwahi kudhihaki mwenendo wa bunge letu la jamhuri ya muungano wa Tanzania.Baadhi ya watu walilaumu kitendo hicho na wengine kuunga mkono.Kwa hali inayoendelea sasa bungeni mpaka mijadala nani anatembea na nani.Je majirani zetu walikuwa sahihi kutudhihaki? na kama spika ataruhusu mijadala ya namna hiyo,ni nani atakaye baki salama ikiwemo spika ambaye inasemekana hana mume na pia naibu spika ambae hajui idadi ya watoto alionao.Je haya ndio tuliyo watuma sisi wananchi kujadili bungeni?