Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Je ni kweli wadada wengi wenye umri kuanzia 30 na kuendelea ambao wengi wao wapo single inapofika stage ya kutafuta ndoa au mume wa ndoa wengi wao huingia katika ndoa kwa nia ya kutoa nuksi na mkosi ndani ya familia ili mradi na yeye aonekane kaolewa
Lakini yule anamuowa huwa hana mapenzi ya kweli ila kilichompeleka pale ni ndoa tuu illi kutoa nuksii tuu
Je ni kweli
Lakini yule anamuowa huwa hana mapenzi ya kweli ila kilichompeleka pale ni ndoa tuu illi kutoa nuksii tuu
Je ni kweli