KITAULO
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,926
- 2,777
Wana JF,
Kwa miaka mingi vyama vya siasa vimekuwa vikilalamika juu ya kutokuwepo kwa tume huru ya uchaguzi. Kwa maoni yangu nadhani sasa ndio muda muafaka wa wananchi kukaa chini na kuelimishana ni kwa namna gani tuta pata tume huru na tutajiridhisha kuwa Tume inayosimamia uchaguzi hakika ni huru pasipo kutia shaka.Na kunamsawali kadha wa kadha ya kujiuliza tunapokuwa tunajiridhisha kama ifuatavyo;
Kwa miaka mingi vyama vya siasa vimekuwa vikilalamika juu ya kutokuwepo kwa tume huru ya uchaguzi. Kwa maoni yangu nadhani sasa ndio muda muafaka wa wananchi kukaa chini na kuelimishana ni kwa namna gani tuta pata tume huru na tutajiridhisha kuwa Tume inayosimamia uchaguzi hakika ni huru pasipo kutia shaka.Na kunamsawali kadha wa kadha ya kujiuliza tunapokuwa tunajiridhisha kama ifuatavyo;
- Tume huru huwa inaundwa vipi?
- Viongozi wa Tume wanatakiwa kupatikana vipi?
- Ni mamlaka gani kisheria inanguvu ya kuregulate mchakato mzima wa tume?
- Je katiba yetu tuliyonayo inatupa mwanya wa kuunda tume huru?
- Je na kama ikiundwa kutakuwa hamna mgongano wa kimaslayi/conflict of interest?
- Je itakuwa huru kweli katika Nyanja zote?