Je ni kweli unafahamu umuhimu wa Mwanamke!!

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Feb 18, 2009
3,930
4,893
We mbaba,mkaka unafahamu kweli umuhimu wa mwanamke/mpenzi wako?
mwanamke ni kiumbe muhimu sana katika maisha ya kila siku.Uongo??????
 
fafanua unataka kusema nn pls kwani wote ni muhimu mwanamke anamuhitaji mwanaume kama mwanaume anavyomwitaji mwanamke kwaiyo wote ni muhimu kila mmoja mwenzake
 
yah, ni muhimu,
ni chombo cha starehe, starehe haikamiliki bila kifaa cha kukamulia samli............ ni muhimu sana ...................... you just need cash and you get it all................... abou uses, dont worry, you can use the way you like, it iis very flexible and driven by money.................... yah, i got it right!!!!!!!!!!!!!
 
Ni kweli!
Kwanza kabisa ni Mama zetu; wametuzaa,wametunyonyesha, wametulisha, wametulea hadi tukawa hivi tulivyo.
 
Hivi akili unazo? Swali lako mbona halina mwelekeo au unafanya research ambapo hii ni moja ya research methodology unayotumia? Kama ni hivyo supervisor wako ni Sonyo W, unamjua? Usiulize ili mradi unauliza kwani unapoteza muda wa watu wakijua kuna mada ya nguvu kumbe pumba tupu tena za mbao.
 
yah, ni muhimu,
ni chombo cha starehe, starehe haikamiliki bila kifaa cha kukamulia samli............ ni muhimu sana ...................... you just need cash and you get it all................... abou uses, dont worry, you can use the way you like, it iis very flexible and driven by money.................... yah, i got it right!!!!!!!!!!!!!


Umeenda mbele ya mada mkuu punguza munkali mazee watakuogopa....
 
yah, ni muhimu,
ni chombo cha starehe, starehe haikamiliki bila kifaa cha kukamulia samli............ ni muhimu sana ...................... you just need cash and you get it all................... abou uses, dont worry, you can use the way you like, it iis very flexible and driven by money.................... yah, i got it right!!!!!!!!!!!!!
mmh!!! Ngoja bht na FL1 waone hii!
 
Mwanamke ana umuhimu wake mkubwa katika nyumba, mapenzi nk. Tusijifanye hatujui tunajua lakini ni jeuri tu.
 
We mbaba,mkaka unafahamu kweli umuhimu wa mwanamke/mpenzi wako?
mwanamke ni kiumbe muhimu sana katika maisha ya kila siku.Uongo??????

Hahaha! Umenikumbusha my late mom, she used to say "NOBODY NOTICES WHAT I DO, UNTIL I DONT DO IT". Sikuwa namuelewa wakati ule, saa hizi ndo naelewa. umuhimu wa mtu katika maisha yako, ni rahisi sana kutokuutambua. So, I dont take anybody for granted, especially people close to me (even mlinzi na housegirl)
 
Back
Top Bottom