TEMBOPHD990
Member
- Dec 23, 2018
- 15
- 75
Ni muda mrefu sana ndugu sijawasabahi,
Nawasalimu kwa jina la bwana,
Twende kwenye point sasa.
Ni hivi kuna siku niliwai kuskia kuwa kama mwanamke akiwa na maambukizi ya Ukimwi (positiv) alafu (mwanaume ana yaan (negative) ukaitaji kushiriki nae tendo (+18) Ili usiwe na probability ya maambukizi ni vema kumuuandaa vema mwanamke.
Hii imekaaje?
Nawasalimu kwa jina la bwana,
Twende kwenye point sasa.
Ni hivi kuna siku niliwai kuskia kuwa kama mwanamke akiwa na maambukizi ya Ukimwi (positiv) alafu (mwanaume ana yaan (negative) ukaitaji kushiriki nae tendo (+18) Ili usiwe na probability ya maambukizi ni vema kumuuandaa vema mwanamke.
Hii imekaaje?