Habari za asubuhi wanabodi,
Kumekuwa na mitazamo/ dhana maeneo mengi sana duniani kwamba ili uwe tajiri ni lazima uwe nje ya mfumo huu wa kuajiriwa bali unatakiwa ujiajiri, na wanasema kwamba
'hautakuwa tajiri ' kabisa. Je, kuna mfano wa waajiriwa ni matajiri? Kama wapo tuwataje
Karibuni kwenye mjadala.
Kumekuwa na mitazamo/ dhana maeneo mengi sana duniani kwamba ili uwe tajiri ni lazima uwe nje ya mfumo huu wa kuajiriwa bali unatakiwa ujiajiri, na wanasema kwamba
'hautakuwa tajiri ' kabisa. Je, kuna mfano wa waajiriwa ni matajiri? Kama wapo tuwataje
Karibuni kwenye mjadala.