Anigrain
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 1,677
- 4,141
Sawa mkuu nimeacha kukalili, me ngoja niwapishe muendelee na hii topic nimechangia vya kutosha acha nikabidhi kijiti nitarudi badae kusoma michango yenuAcha kukalili mambo, kwa taarifa yako ni kuwa hakuna kanuni inayozungumzia juu ya mdhamini mwenza nembo yake itakaa/haitakaa kwenye jezi ya timu, bali ni hao tff wanapomfuata huyo mdhamini kumuomba udhamini , na yeye ndiye anatoa masharti yake, mkiyakubali sawa anatoa pesa!!na tff ndio walimfuata GSM, na yeye akatoa masharti hayo.sasa kama hao wadhamini wenza wa nyuma hawakutoa sharti hilo ni wao!!kanuni zipi hizo ambazo zimekuwepo kwa miaka mingi?mbona hadi sasa timu hazifahamu hyo mdhamini mkuu washindi watapata kiasi gani?TFF, ndiye mwenye ligi na mikataba yote ya wadhamini ni yeye ndiye anaiingia, hata CAF, ni hivyo hivyo, nyie timu mtapewa tu utaratibu wa kuufuata basi, kuna timu hapa hapa ina udhamini wa ttcl na logo yake iko bega la kushoto , sasa watakapokuja kuambiwa waitoe/kuihamisha utasikia kelele tena!!wakati kanuni ziko wazi kuwa hata ukipata mdhamini wako huko lazima uijurishe tff kwanza!!Tatizo la kwetu u yanga na simba ndio kikwazo.
Ila ki kanuni ktk hili simba hoja zake hazina mashiko.mfano eti yanga hajatwaa kombe miaka 4, hivyo kuna kitu kinaandaliwa!!!si upuuzi huo, GSM, ndio atacheza?