Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Wapinzani hadi wananchi kwa jumla wa Malawi waliamua na wameweza kufanya kile ambacho kilikuwa kinaonekana hakiwezekani kwa nchi za kiafrika. Yaani kuiondoka kwa kura serikali na kiongozi aliyeko madarakani.
Kulitokea kitendo cha ajabu Malawi, Rais Mutharika alimuagiza Mkuu wa majeshi asaidie jeshi kuzuia watu maandamano lakini aligoma kushambulia RAIA alio apa kuwalinda akafukuzwa kazi. Maana yake mkuu huyo wa majeshi kwa sasa atakuwa na Heshima kubwa zaidi kwa Raia na Rais wa sasa.
Mkusanyiko huo wa matukio umesababisha viongozi wa nchi za kiafrika hususani za kusini mwa Sahara kutopokea habari za Rais mpya kwa bashasha kama kawaida yao.
Je, response ya Jeshi na RAIA imewatia woga watawala kuwa wananchi wakiamua kusimama kidete unaondoka madarakani? Au kitendo cha siku moja tuu madarakani kwa rais mpya na kumuondolea kinga Mutharika ndicho kimetia chumvi kidonda cha hofu?
Kulitokea kitendo cha ajabu Malawi, Rais Mutharika alimuagiza Mkuu wa majeshi asaidie jeshi kuzuia watu maandamano lakini aligoma kushambulia RAIA alio apa kuwalinda akafukuzwa kazi. Maana yake mkuu huyo wa majeshi kwa sasa atakuwa na Heshima kubwa zaidi kwa Raia na Rais wa sasa.
Mkusanyiko huo wa matukio umesababisha viongozi wa nchi za kiafrika hususani za kusini mwa Sahara kutopokea habari za Rais mpya kwa bashasha kama kawaida yao.
Je, response ya Jeshi na RAIA imewatia woga watawala kuwa wananchi wakiamua kusimama kidete unaondoka madarakani? Au kitendo cha siku moja tuu madarakani kwa rais mpya na kumuondolea kinga Mutharika ndicho kimetia chumvi kidonda cha hofu?