Mgaya wa TUCTA ameandaa ya kwake na hataki wanasiasa waingilie anadai wasije kuingiza mambo ya siasa kupitia wao na maandamano yake yanashonewa sare kabisa wakati wanaoteseka ni wananchi wengi tuseme karibu wote swali kwani nchi inaongozwa na nani kama siyo wanasiasa ambao watu hujiunga nao kutokana na hoja na sera zao na siyo kundi fulani kama wengine wanavyotumia fimbo ya udini.
Wanavyuo nao hawataki wanasiasa waingile mambo yao na wao wanataka kuandamana kivyuovyuo na kupigwa na kuuawa kama kule dodoma na mambo yanaishia chinichini' nini kwani chuo si cha kwao ccm mtawafanya nini mnasoma kwa msaada (nashindwa kuamini) nini maana ya utawala bora
CUF nayo wanaandaa ya kwao kuanzia buguruni kama kawaida na nimemsikia Mtatiro amesema na yeye ana intelijensia yake na ana uhakika maandamano yatakuwa ya Amani na polisi wasilete intl.zao za kizushi maana ya kwake ni ya uhakika zaidi hivyo watafanya maandamano ya amani na kupinga mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kama vile Dowans, katiba nk. Hii ni kama nimeitamani na imenivutia lakini hawa jamaa hawaaminiki kabisa inajulikana kama ccm b. Na wanatafuta kazi zaidi kama aliyopatiwa maalim Seif (samahani hivi Zanzibar kuna rais?) hana mvuto wa kisiasa amewekwa tu kama mkuu wa mkoa fulani.
Viongozi wa dini na wao wameganyika kidini ambao viongozi wa dini ndiyo waliohakikishaga kuwa Yesu Kristo anasulubiwa hawa wengi ni wanafiki wakubwa sana na wavurugaji wa kwa kutumia nafasi zao maana watu wengi wanawaamini sana kuwa wanaweza kuwapatia maisha bora ya umilele lakini wanaingiza siasa kulingana na ushabiki wao na kutumiwa vibaya na wanasiasa huku maisha magumu yakiwaadhibu kila mtu bila kujali aina ya dini yake na chama chake maana hata hao VILAZA WANAOJIITA WANA CCM. Wamechakaa na maisha na huku wamevaa kofia na vilemba vya uchaguzi wa 2005 akidai hicho chama kinamfaa. Hapohapo waisilamu wameshaingia mtegoni wakiamini kwamba mabadiliko yanayotakiwa na CDM.ni ya kikristo zaidi na wanachukulia kuwa wakristo wanampinga kikwete waisilamu wao wanaamini maisha yao yako sawa na hawahitaji mabadiliko kulingana kauli8 zao nyingi wao wakishapewa mahakama ya kadhi ambayo ni kama wameshaipata tayari hawana jingine wanalotaka.
Na kuna mwanaharakati mwenzetu humu jamvini yeye amerusha thread yake akiomba vijana, wanafunzi na watu wote wenye kutaka mabadiliko wakutane mnazi mmoja tarehe 2 walianzishe na wengi tumemuunga mkono na siyo vibaya.
Nimesikia tena CDM. Wao wameandaa ya kwao Tarehe 28 na kila karibu watu wote hawa kilio chao ni kimoja lakini tatizo hatujajipanga kwa mtindo ambao utabadilisha sura ya kisiasa kama tunayoyaona Tunisia Misri na kwingineko ninachokiaona hapa zaidi ni ubinafsi zaidi na wachache wanaojitafutia umaarufu wa kisiasa.
Kwa haya ya CDM. Nitakwenda hayajaonyesha kuwa ni ya kwao wenyewe bali ni ya watanzania wote hayana sare na hayajasema ni ya watu wa dini gani wala wao hawatafuti kazi kama maalim Seif na kundi lake maana Lipumba ameshatoswa ila pamoja na kuwa Prof. Hajastuka tu nina mashaka gorofani kwake hazimo au huenda na yeye anataka apewe ka uwaziri.
Tuache mambo ya ushabiki hapa hebu tuangalie ukweli halisi kuwa ni chama gani cha upinzani Tanzania kwa wakati huu kina nguvu ya kuweza kuwakusanya wananchi kona zote za Tanzania na kinasikilizwa na aina nyingi ya jamii na kuungwa mkono then kwa pamoja twendeni kwenye maandamano kwa HOJA ZA KITAIFA NA SIYO KICHAMA NA KIDINI KI TUCTA NK.
Na Polisi ambao wao ni kama maroboti wakae mbali maana hata wao wamechoka mbaya kama hawatasikia kuna Jeshi ambalo linajua mipaka ya kazi yake na yatawakuta yale ya Misri.
Nitahudhuria maandamano yaliyoandaliwa na Chadema maana ndiyo sauti ya wengi na sauti ya wengi ni sauti ya Mungu na ndiyo waliokurupua mambo mengi ya mabadiliko ya kisiasa hapa nchini.
Tahadhari kwa wavivu wa kufikiri na kuniona kama mwanachama wa chadema watakuwa wamekosea hapa maana kila Mtanzania anayeishi kwenye dhahama hili anahitaji mabadiliko ya kweli na siyo malumbano akili zanggu zinanitosha kuchambua mambo ya msingi na kujua wapi pa kwenda kuwaunga mkono ili tulete mabadiliko ya kweli
Shime!!! shime!!! Hima!!! Hima!!! Watanzania tuuungane kona zote za nchi kuleta mabadiliko ya kweli na kuacha ubinafsi wa kimatabaka na tusitumiwe vibaya na watu wasiopenda maendeleo na mabadiliko ya kweli tushikaname kama tulivyozoea zamani kuita maanadamano ni matembezi ya mshikamano.:sad::sad::sad::sad::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA MUNGU WALAANI WOTE WENYE NIA MBAYA NA NCHI HII KWA UFISADI NA MATAKWA YAO BINAFSI. Amen
:sad::embarrassed:
Wanavyuo nao hawataki wanasiasa waingile mambo yao na wao wanataka kuandamana kivyuovyuo na kupigwa na kuuawa kama kule dodoma na mambo yanaishia chinichini' nini kwani chuo si cha kwao ccm mtawafanya nini mnasoma kwa msaada (nashindwa kuamini) nini maana ya utawala bora
CUF nayo wanaandaa ya kwao kuanzia buguruni kama kawaida na nimemsikia Mtatiro amesema na yeye ana intelijensia yake na ana uhakika maandamano yatakuwa ya Amani na polisi wasilete intl.zao za kizushi maana ya kwake ni ya uhakika zaidi hivyo watafanya maandamano ya amani na kupinga mambo mengi yanayoendelea hapa nchini kama vile Dowans, katiba nk. Hii ni kama nimeitamani na imenivutia lakini hawa jamaa hawaaminiki kabisa inajulikana kama ccm b. Na wanatafuta kazi zaidi kama aliyopatiwa maalim Seif (samahani hivi Zanzibar kuna rais?) hana mvuto wa kisiasa amewekwa tu kama mkuu wa mkoa fulani.
Viongozi wa dini na wao wameganyika kidini ambao viongozi wa dini ndiyo waliohakikishaga kuwa Yesu Kristo anasulubiwa hawa wengi ni wanafiki wakubwa sana na wavurugaji wa kwa kutumia nafasi zao maana watu wengi wanawaamini sana kuwa wanaweza kuwapatia maisha bora ya umilele lakini wanaingiza siasa kulingana na ushabiki wao na kutumiwa vibaya na wanasiasa huku maisha magumu yakiwaadhibu kila mtu bila kujali aina ya dini yake na chama chake maana hata hao VILAZA WANAOJIITA WANA CCM. Wamechakaa na maisha na huku wamevaa kofia na vilemba vya uchaguzi wa 2005 akidai hicho chama kinamfaa. Hapohapo waisilamu wameshaingia mtegoni wakiamini kwamba mabadiliko yanayotakiwa na CDM.ni ya kikristo zaidi na wanachukulia kuwa wakristo wanampinga kikwete waisilamu wao wanaamini maisha yao yako sawa na hawahitaji mabadiliko kulingana kauli8 zao nyingi wao wakishapewa mahakama ya kadhi ambayo ni kama wameshaipata tayari hawana jingine wanalotaka.
Na kuna mwanaharakati mwenzetu humu jamvini yeye amerusha thread yake akiomba vijana, wanafunzi na watu wote wenye kutaka mabadiliko wakutane mnazi mmoja tarehe 2 walianzishe na wengi tumemuunga mkono na siyo vibaya.
Nimesikia tena CDM. Wao wameandaa ya kwao Tarehe 28 na kila karibu watu wote hawa kilio chao ni kimoja lakini tatizo hatujajipanga kwa mtindo ambao utabadilisha sura ya kisiasa kama tunayoyaona Tunisia Misri na kwingineko ninachokiaona hapa zaidi ni ubinafsi zaidi na wachache wanaojitafutia umaarufu wa kisiasa.
Kwa haya ya CDM. Nitakwenda hayajaonyesha kuwa ni ya kwao wenyewe bali ni ya watanzania wote hayana sare na hayajasema ni ya watu wa dini gani wala wao hawatafuti kazi kama maalim Seif na kundi lake maana Lipumba ameshatoswa ila pamoja na kuwa Prof. Hajastuka tu nina mashaka gorofani kwake hazimo au huenda na yeye anataka apewe ka uwaziri.
Tuache mambo ya ushabiki hapa hebu tuangalie ukweli halisi kuwa ni chama gani cha upinzani Tanzania kwa wakati huu kina nguvu ya kuweza kuwakusanya wananchi kona zote za Tanzania na kinasikilizwa na aina nyingi ya jamii na kuungwa mkono then kwa pamoja twendeni kwenye maandamano kwa HOJA ZA KITAIFA NA SIYO KICHAMA NA KIDINI KI TUCTA NK.
Na Polisi ambao wao ni kama maroboti wakae mbali maana hata wao wamechoka mbaya kama hawatasikia kuna Jeshi ambalo linajua mipaka ya kazi yake na yatawakuta yale ya Misri.
Nitahudhuria maandamano yaliyoandaliwa na Chadema maana ndiyo sauti ya wengi na sauti ya wengi ni sauti ya Mungu na ndiyo waliokurupua mambo mengi ya mabadiliko ya kisiasa hapa nchini.
Tahadhari kwa wavivu wa kufikiri na kuniona kama mwanachama wa chadema watakuwa wamekosea hapa maana kila Mtanzania anayeishi kwenye dhahama hili anahitaji mabadiliko ya kweli na siyo malumbano akili zanggu zinanitosha kuchambua mambo ya msingi na kujua wapi pa kwenda kuwaunga mkono ili tulete mabadiliko ya kweli
Shime!!! shime!!! Hima!!! Hima!!! Watanzania tuuungane kona zote za nchi kuleta mabadiliko ya kweli na kuacha ubinafsi wa kimatabaka na tusitumiwe vibaya na watu wasiopenda maendeleo na mabadiliko ya kweli tushikaname kama tulivyozoea zamani kuita maanadamano ni matembezi ya mshikamano.:sad::sad::sad::sad::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed::embarrassed:
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA MUNGU WALAANI WOTE WENYE NIA MBAYA NA NCHI HII KWA UFISADI NA MATAKWA YAO BINAFSI. Amen
:sad::embarrassed: