Je, ni kweli Tanzania mbwa ana thamani kuliko uhai wa binadamu?

MAHORO

JF-Expert Member
Sep 3, 2013
7,585
2,568
Nimesikia Waziri akimtafuta mbwa aliyepotea kwa nguvu zote.

Kuna watu wengi wamepotea lakini hatusikii wakitafutwa kama huyu mbwa anavyotafutwa.

Waliopotea ni wengi kama Azori Gwanda na Ben saanane.

Sasa sijui hii imekaaje ?
 
Nimesikia Waziri akimtafuta mbwa aliyepotea kwa nguvu zote.

Kuna watu wengi wamepotea lakini hatusikii wakitafutwa kama huyu mbwa anavyotafutwa.

Waliopotea ni wengi kama Azori Gwanda na Ben saanane.

Sasa sijui hii imekaaje ?
Mkuu, unawaza sana!
 
tanzania ni nchi ya ajabu sana, wanaweza hata kuhamisha kijiji kisa digididi mmoja na wakiwaambia ni hifadhi ya wanyama!
 
Nimesikia Waziri akimtafuta mbwa aliyepotea kwa nguvu zote.

Kuna watu wengi wamepotea lakini hatusikii wakitafutwa kama huyu mbwa anavyotafutwa.

Waliopotea ni wengi kama Azori Gwanda na Ben saanane.

Sasa sijui hii imekaaje ?
Mbwa wa Polisi ni Askari mwenye haki zote kama Askari,anaingia shift ama mchana au usiku kama kawaida ya Askari. Ukifika umri wa mbwa kustaafu anastaafishwa kama kawaida. Bado mbwa huyo alikuwa mikononi mwa Askari Watu, kwa nini asionekane na amekwenda wapi? Binadamu kupotea ni suala lingine maana wao wana utashi na huwezi kuwachunga tofauti na mbwa...!!
 
Mbwa wa Polisi ni Askari mwenye haki zote kama Askari,anaingia shift ama mchana au usiku kama kawaida ya Askari. Ukifika umri wa mbwa kustaafu anastaafishwa kama kawaida. Bado mbwa huyo alikuwa mikononi mwa Askari Watu, kwa nini asionekane na amekwenda wapi? Binadamu kupotea ni suala lingine maana wao wana utashi na huwezi kuwachunga tofauti na mbwa...!!
Tofauti tu ni kwamba halipwi mafao.
 
Mbwa wa Polisi ni Askari mwenye haki zote kama Askari,anaingia shift ama mchana au usiku kama kawaida ya Askari. Ukifika umri wa mbwa kustaafu anastaafishwa kama kawaida. Bado mbwa huyo alikuwa mikononi mwa Askari Watu, kwa nini asionekane na amekwenda wapi? Binadamu kupotea ni suala lingine maana wao wana utashi na huwezi kuwachunga tofauti na mbwa...!!
kwa hiyo akistaafu analipwa mafao? unamjua mbwa? unaweza kumlinganisha kwa vyovyote vile na wewe? (binadamu)? acheni unafiki nyie watu. hoja ni kwamba mbwa anatafutwa kwa nguvu kuliko binadamu? ni huyu wazir mpuuzi alosema hawatafuti binadamu kwakuwa hawajui alipoenda? umesahau na hilo???
 
uunaikumbuka story ya Anzory gwanda? unajua alifwatwa na gari gani kwake? acha unafiki. mungu hapendi unafiki kama huu wako
Uliiona hiyo gari na INAMILIKIWA na nani? usihukumu watu kwa hadithi za kusimuliwa na Mangekimambi? Sie tunajua Mbwa ni wa Polisi, ana Master wake anayemuhudumu ndio mahali pa kuanzia.
 
kwa hiyo akistaafu analipwa mafao? unamjua mbwa? unaweza kumlinganisha kwa vyovyote vile na wewe? (binadamu)? acheni unafiki nyie watu. hoja ni kwamba mbwa anatafutwa kwa nguvu kuliko binadamu? ni huyu wazir mpuuzi alosema hawatafuti binadamu kwakuwa hawajui alipoenda? umesahau na hilo???
Askari (Mbwa) lazima atafutwe na apatikane,kama wewe ni mmoja wa wanaokodisha mbwa kinyemela imekula kwako. Hata wewe unaweza kusaidia kuwatafuta watu waliopote au kama unazo taarifa zao zilete tutazifanyia kazi
 
Mtoa mada asante kwa kuliona hilo......hii nafasi adimu ya kutumiwa na wanaharakati ili kupaza sauti juu ya mbwa na mwanadamu yupi ana thamani?
 
Hivi bado kuna kiumbe hajaamini kwamba inji hii tumepoteza uelekeo ...

Imefikia mbwa anathamani kuliko Binadam ...

Hii ni aibu kwa wahusika ... Ama kweli dhambi ya damu doa lake halifutiki
 
Back
Top Bottom