sindano butu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 503
- 157
Mtu anakuwa na amani kama ametulia kwenye akili. Ni mtulizo wa akili mtu hapo tunasema ana amani.HUMU tanzania hamna amani kwasababu nyingi. mifano: 1)ela yetu haina thamani 2)polisi kuwakandamiza wananchi pale wanapotaka kupata haki zao 3)wananchi kunyimwa haki zao na MAHAKAMA YA KISUTU 4)matokeo ya form four ni mabovu sijawahi kuona 5) watawala wanachukulia liwalo na liwe hata kama uhai wa watu huko hatarini 6) kufungiwa kwa magazeti yanayotoboa siri. KWA HIYO JAMANI TANZAN HAMNA AMANI bali kunaamani ya kichina. Mi nashangaa polisi wanadiriki kusema eti maandamo yenu yatahatarisha amani wakati WALIOHATARISHA AMANI NI WATAWALA na kifikra wanatakiwa wawatumie FFU WATAWALA!