Je, ni kweli Tanzania ajira hakuna au vijana ndio hawaajiriki?


siwezi kusema sana maana huenda ukawa upo sebleni kwa shemeji yako unasubiri unasubiria dada yako apigwe p**bu ili kesho upewe hela ya kununulia pens karume
Usikute na ww unajiita digrii oda ,unashindwa kujibu hoja unabwabwaja.
Itatuchukua mda sana mpk vijana km ww kujitambua🤔🤔🤔🤔
 
akae tu kimya aisee,
Kabla hujafikiria hizo degree za chupi kama ni moja ya tatizo, ulianza kwanza kujiuliza kwa mwaka labor market inakuwa supplied na labor force kwa kiasi gani na demand ya labor force ipo kiasi gani?!

Uliwahi kujiuliza labor market ina aggregate labor supply ya kiasi gani na aggregate labor demand ni kiasi gani at any time "t"?

Hivi ulitakiwa kuhoji ni nani basi wanafanya kazi huko sekta binafsi au ulitakiwa kuhoji uwezo wa sekta binafsi ku-absorb available labor fource?

Hivi Tanzania hii kuna taasisi yoyote iliyo chini ya sekta binafsi yenye wafanyakazi wanaofikia 10K? Kuna kampuni ngapi zenye angalau wafanyakazi 5K?

Hivi kama watu wasingekuwa wanafanya hicho mnachoita kufikiria nje ya box, ulishawahi kujiuliza ni watu wangapi kila leo wangekuwa wanaokotwa barabarani kwa ajili ya njaa?!! Ulishawahi kujiuliza ni kwa kiasi gani ujambazi, wizi na uovu wa kila aina ambavyo ungekuwa umetamalaki?!

The problem kuna watu mkipata kashughuli ka kuwaingizia vilaki vinne au vitano kwa mwezi ndo basi tena mnaona wengine wote ni mapoyoyo tu lakini nyie ndo ma-gwiji wa kufikiria nje ya bo
 
Habari wadau!

Ebu leo tuongee ukweli hivi kweli Tanzania ajira ni tatizo au tatizo ni wahitimu wetu na vyuo vyetu vinavyozalisha hao wahitimu.?

Si kwamba kuna vyuo vinatoa wahitimu wepesi wenye degree na GPA za chupi na zenye uzito wa kinyoya na weupe kichwani kabisa kiasi ambacho hata wawekezaji wanaogopa kuwaajiri sababu wanakosa zile sifa anazotaka muajiri?
Au tatizo lipo kwenye mifumo yetu ya elimu?

Tunasema serikalini hakuna ajira, je na sekta binafsi nako hakuna mbona mashirika binafsi ni mengi je nani anafanya kazi huko?

Je, tuendelee kungoja ajira za serikali au tukubaliane na Kigwa kuhusu kufikiri nje ya box?

Wengi wanaogoma kukubali ukweli wa Kigwa wa kufikiri nje ya box hawana hata watoto wa kusingiziwa au hawatumi na yakutolea.

Ukweli siku zote lazima huwe mchungu ili hiwe ngumu kumeza,kuna mda inabdi tusemwe vibaya ili tupate gazabu na kuongeza juhudi.
Dhana yako si mbaya lakini hili ni jukwaa pana mno si vizuri kuandika matusi, Kuhusu uzi uliouleta jukwaani, Kwa mtazamo Wangu Mifumo ya elimu yetu inazalisha vijana tegemezi na ambao ni vigumu kukabiliana na changamoto za soko la ajira kwa sasa, kinachopelekea wahitimu wa vyuo tuliowengi kushindwa kustahimili hekaheka za vituo vyetu vya kazi ni nadharia tunazokaririshwa vyuoni, unapoenda katika kituo cha kazi, kazi zinatafsiriwa na si kufanya ulichokaririshwa chuoni, siwalaumu wahitimu katika hilo, kazi zipo kiasi na zinahitaji kujiongeza na kutumia akili ya ziada pindi unapozibahatisha.
 
Dhana yako si mbaya lakini hili ni jukwaa pana mno si vizuri kuandika matusi, Kuhusu uzi uliouleta jukwaani, Kwa mtazamo Wangu Mifumo ya elimu yetu inazalisha vijana tegemezi na ambao ni vigumu kukabiliana na changamoto za soko la ajira kwa sasa, kinachopelekea wahitimu wa vyuo tuliowengi kushindwa kustahimili hekaheka za vituo vyetu vya kazi ni nadharia tunazokaririshwa vyuoni, unapoenda katika kituo cha kazi, kazi zinatafsiriwa na si kufanya ulichokaririshwa chuoni, siwalaumu wahitimu katika hilo, kazi zipo kiasi na zinahitaji kujiongeza na kutumia akili ya ziada pindi unapozibahatisha.
mkuu, hawa graduates ndo watu wanaotegemewa kufika makazini ndo wabadilishe mifumo ya zamani waweke mipya, wawaoneshe hao waliowatangulia ufanisi kwa ku-introduce maarifa mapya waliyoyapata, ila unakuta huko makazini ni ngumu ku-implement elimu zao na hao staff waliokuwepo labda kuna kazi wanazifanya kwa magumashi + mazoea, na hawataki kukosolewa, sasa inakua changamoto hata kwa hawa vijana kuzitunza hizo kazi..

hapo sijagusia makampuni yanayowanyonya au kuwacheleweshea mishahara mpaka miezi3, kwingine siku hzi ndo hawataki hata kutoa mikataba kwa hawa vijana wapya,.. wengine hawawataki vijana wenye degrees kua wajuaji, sasa kama mnakosea msielimishwe!?.. matokeo yake vijana wa bachelor wana uhaba sana wa ajira kuliko wa chini yao,..

anyway hili ni jukwaa huru.
 
mkuu, hawa graduates ndo watu wanaotegemewa kufika makazini ndo wabadilishe mifumo ya zamani waweke mipya, wawaoneshe hao waliowatangulia ufanisi kwa ku-introduce maarifa mapya waliyoyapata, ila unakuta huko makazini ni ngumu ku-implement elimu zao na hao staff waliokuwepo labda kuna kazi wanazifanya kwa magumashi + mazoea, na hawataki kukosolewa, sasa inakua changamoto hata kwa hawa vijana kuzitunza hizo kazi..

hapo sijagusia makampuni yanayowanyonya au kuwacheleweshea mishahara mpaka miezi3, kwingine siku hzi ndo hawataki hata kutoa mikataba kwa hawa vijana wapya,.. wengine hawawataki vijana wenye degrees kua wajuaji, sasa kama mnakosea msielimishwe!?.. matokeo yake vijana wa bachelor wana uhaba sana wa ajira kuliko wa chini yao,..

anyway hili ni jukwaa huru.
Mkuu, kama wewe no freshgraduate, uko sahihi kusema hivyo, nilichokizungumzia hapa ni ni Mifumo ya elimu yetu hebu jitathmini mwenyewe somo la entrepreneurship ambalo ni lazima siku hizi vyuoni linatolewa kwa nadharia, ujasiriamali gani unaofanyika kinadharia????!!!! Tuachane na hilo, mambo yanayofanyika kazini ni tofauti na nadharia tunazomezeshwa chuoni na ndiyo maana tukifika kazini kutoka vyuoni, tunaweza kuona kuwa kila wanalolifanya watu tuwakutao kazini wanakiuka taratibu.
 
Mimi nina ndugu yangu na ujanja wote imembidi aomba ajira ya kufundisha shule ya msingi na kapata na degree anayo.....

Shida unawezaje kufikiria nje ya box, wakati anayezungumza hayo yupo kwenye ndumba ya hali na mali apate ajira ya ubunge?

Hatuna mitaala inayomfanya mtu akitoka au akimaliza ajiajiri ila inategemea na sector mtu kama Dr. au Pharmacist unamtengenezea mazingira akaibe dawa siyo au awauzie karanga wagonjwa? Yuko ofisini 24hours/7

Kuna siku niliwaza hivi wale akina kinjikitile tunajifunzaga na hatukuwahi kuapply? Sikebehi hapana.....

Ipo namna tuwaandae watoto kuwa innovator since chekechea ikiwezekana.....

Saizi mentality za wazazi wanawaza kuwapeleka watoto boarding na English medium akifika chuo na marks zake zote unakuta anaangukia mule mule

We need to change
Hii mentality ntaanza kuivunjia kwa mwanangu, sipeleki shule tofauti na serikalini.
 
Habari wadau!

Ebu leo tuongee ukweli hivi kweli Tanzania ajira ni tatizo au tatizo ni wahitimu wetu na vyuo vyetu vinavyozalisha hao wahitimu.?

Si kwamba kuna vyuo vinatoa wahitimu wepesi wenye degree na GPA za chupi na zenye uzito wa kinyoya na weupe kichwani kabisa kiasi ambacho hata wawekezaji wanaogopa kuwaajiri sababu wanakosa zile sifa anazotaka muajiri?
Au tatizo lipo kwenye mifumo yetu ya elimu?

Tunasema serikalini hakuna ajira, je na sekta binafsi nako hakuna mbona mashirika binafsi ni mengi je nani anafanya kazi huko?

Je, tuendelee kungoja ajira za serikali au tukubaliane na Kigwa kuhusu kufikiri nje ya box?

Wengi wanaogoma kukubali ukweli wa Kigwa wa kufikiri nje ya box hawana hata watoto wa kusingiziwa au hawatumi na yakutolea.

Ukweli siku zote lazima huwe mchungu ili hiwe ngumu kumeza,kuna mda inabdi tusemwe vibaya ili tupate gazabu na kuongeza juhudi.
Naomba nitangulie na kusema KMMMKO!

Kampuni ngapi zimekosa wafanyakazi miongoni mwa Graduates kwa kigezo kuwa hawafai?

Hao wenye makampuni wanajua fika kuwa tatizo kuna Surplus ya wahitimu na hawawezi kuwa accomodate wote. Wanachokifanya ni kuweka Criteria ambazo sio peculiar kama Year of completion, Height, Experiences n.k ambavyo wanapunguza watu hata wenye uwezo. Perfomance ya mtu haipimwi kwa cheti bali utendaji na kujiongeza. Average joes wengi ndio huwa wako sharp makazini iko wazi.
 
Habari wadau!

Ebu leo tuongee ukweli hivi kweli Tanzania ajira ni tatizo au tatizo ni wahitimu wetu na vyuo vyetu vinavyozalisha hao wahitimu.?

Si kwamba kuna vyuo vinatoa wahitimu wepesi wenye degree na GPA za chupi na zenye uzito wa kinyoya na weupe kichwani kabisa kiasi ambacho hata wawekezaji wanaogopa kuwaajiri sababu wanakosa zile sifa anazotaka muajiri?
Au tatizo lipo kwenye mifumo yetu ya elimu?

Tunasema serikalini hakuna ajira, je na sekta binafsi nako hakuna mbona mashirika binafsi ni mengi je nani anafanya kazi huko?

Je, tuendelee kungoja ajira za serikali au tukubaliane na Kigwa kuhusu kufikiri nje ya box?

Wengi wanaogoma kukubali ukweli wa Kigwa wa kufikiri nje ya box hawana hata watoto wa kusingiziwa au hawatumi na yakutolea.

Ukweli siku zote lazima huwe mchungu ili hiwe ngumu kumeza,kuna mda inabdi tusemwe vibaya ili tupate gazabu na kuongeza juhudi.
Sector binafsi imekufa kifo Cha mende chini ya utawaka wa jpm. Mfano dangote anakaribia kufunga, uchumi supermarket eameshaclose business, mlimani city muda wowote wanaondoka, mo anataka ahamishe biashara zambia, bakhresa amehamisha biashara zake kwa asilimia kubwa Uganda, shule binafsi zinafungwa biashara kila siku mfano ni st Antony walimu wote eamefukuzwa shule haina uwezo wa kuwalipa, fdi zimeyeyuka. Nadhani umeona jinsi gani ajira ni tatizo chini ya dictator mafufoool.
 
Mkuu, kama wewe no freshgraduate, uko sahihi kusema hivyo, nilichokizungumzia hapa ni ni Mifumo ya elimu yetu hebu jitathmini mwenyewe somo la entrepreneurship ambalo ni lazima siku hizi vyuoni linatolewa kwa nadharia, ujasiriamali gani unaofanyika kinadharia????!!!! Tuachane na hilo, mambo yanayofanyika kazini ni tofauti na nadharia tunazomezeshwa chuoni na ndiyo maana tukifika kazini kutoka vyuoni, tunaweza kuona kuwa kila wanalolifanya watu tuwakutao kazini wanakiuka taratibu.
hapana mkuu mimi sio fresh graduate nna experience ya kazi miaka kadhaa, nmewahi kufanya kazi sehemu tofautitofauti na kushindwana nao kutokana na kulazimishwa tabia za kimazoea ambazo kiuhalisia hata miiko ya kazi na fani husika ilikua inakataza, mpka nlipopata kampuni ya kutoka nje, ndo nkaweza kufanya kazi kwa ufanisi kama elimu yangu nliyoipafa ilivyokua inataka,.. ila kampuni zetu nyingi zinataka mtu ufanye kazi kibongobongo tu, yaan kwakua ilikua inafanyika hvo basi iendelee tu japo sio sahihi..
 
Naomba nitangulie na kusema KMMMKO!

Kampuni ngapi zimekosa wafanyakazi miongoni mwa Graduates kwa kigezo kuwa hawafai?

Hao wenye makampuni wanajua fika kuwa tatizo kuna Surplus ya wahitimu na hawawezi kuwa accomodate wote. Wanachokifanya ni kuweka Criteria ambazo sio peculiar kama Year of completion, Height, Experiences n.k ambavyo wanapunguza watu hata wenye uwezo. Perfomance ya mtu haipimwi kwa cheti bali utendaji na kujiongeza. Average joes wengi ndio huwa wako sharp makazini iko wazi.
sidhani kama unaijua industry ya ajira vizuri,ndio maana unaandika vitu visivyo na logic kwa ushabiki wa kisiasa.🤔🤔🤔
 
sidhani kama unaijua industry ya ajira vizuri,ndio maana unaandika vitu visivyo na logic kwa ushabiki wa kisiasa.🤔🤔🤔
Wewe kuwa na ajira hakukufanyi uwe na akili nyingi kiasi cha kutaka uandikiwe unavyotaka kuvisikia tu. Halafu uambie watu wana ushabiki kisiasa, my friend unafeli.

Heshimu mitaa na hustlers, hii game ya street huiwezi wewe. Hio ajira isikutie kiburi kabisa maana ukitupwa street utaweza Danja
 
Wewe kuwa na ajira hakukufanyi uwe na akili nyingi kiasi cha kutaka uandikiwe unavyotaka kuvisikia tu. Halafu uambie watu wana ushabiki kisiasa, my friend unafeli.

Heshimu mitaa na hustlers, hii game ya street huiwezi wewe. Hio ajira isikutie kiburi kabisa maana ukitupwa street utaweza Danja
Usizungumze kuhusu mitaa bro ,mm ndio imenilea hata hapa ninapoandika nyuma ya kiboard nipo kitaa na hustle kimpango wangu usidhani mtu akiandika hivyo ndio kwamba yupo kwny system fulani anakula mema ya nchi ila tu naandika ukweli wa kile ninachokiona kwny industry na maeneo niliyopita pita baba.

Ma channel ya ajira yapo mengi ila hatuwezi kutoboa baba coz hatu fit katika mifumo hiwe ya ndani mpaka ya kibeberu ndio usiseme .
 
i
Usizungumze kuhusu mitaa bro ,mm ndio imenilea hata hapa ninapoandika nyuma ya kiboard nipo kitaa na hustle kimpango wangu usidhani mtu akiandika hivyo ndio kwamba yupo kwny system fulani anakula mema ya nchi ila tu naandika ukweli wa kile ninachokiona kwny industry na maeneo niliyopita pita baba.

Ma channel ya ajira yapo mengi ila hatuwezi kutoboa baba coz hatu fit katika mifumo hiwe ya ndani mpaka ya kibeberu ndio usiseme .
Ungekuwa upo mtaa usingekuwa na guts za kukandia wana. Acha usoro!!!
 
Topic iko vizuri, lakini ulivyoieleza sivyo, wengi wasio na kazi sio wasomi pekee hata wasiosoma, kutokuajirika maana yake wamejaribiwa kupewa kazi lakini utendaji ni ziro hao ndio hawaajiriki, ukiajiriwa uwe na ubunifu,mimi nawazungumzia walioajiriwa halafu wakaregea hao ndio ulitakiwa kiwazungumzia kwenye topic yako.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom