Habari?
Si kweli kwamba sheria haziamini uchawi. Ndio maana tuna sheria ya Uchawi (The Witchcraft Act) Sura ya 18 ya Sheria Za Tanzania zilizofanyiwa mapitio mwaka 2002.
Sheria hii ni very old. 1928. Sheria inatoa azabu kwa mtu kumdhuru mwingine kwa kutumia uchawi, kutishia kutumia uchawi, kuzua taaruki na kadhalika.
Usimamizi wa sheria hii uko chini ya mkuu wa wilaya husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.