Je, ni kweli Rwanda iko salama toka kumalizika kwa mauaji ya Kimbari 1994?

bado sijaona kiumbe wa kuiongoza Rwanda, rwanda inahitaji kiongozi mwenye uchungu na nchi yake kwanza awe mtutsi sababu wameonewa sana.
rwanda inahitaji mpiganaji mahiri ataeweza kutoa sauti na nchi itulie. nasema tena kagame is the best to rule ever rwanda till he dies! na hapo hapo wanywrwanda waombe aibuke mbabe mwingine tena wa kuisimamisha nchi iwe na amani.
 
Baada ya kukutana na Mada Nyingine ya Comred inayozungumzia Kongo, ambayo ni muendelezo wa safari ndefu ya huyu Comred ambaye anakaa kwenye mtandao na kuanza kubuni safari ya siku kibao across nchi za maziwa makuu hadi central Afrika (Kichekesho :D:D:D:pEsp. 2700km ndani ya Kongo. kwa gharama ya nani?, kwa faida ya nani?) Napendekeza hizi Mada mbili ziunganishwe kwani lengo laki ni moja, na Sababu ni issue za hivi karibuni, Comred anataka kuzibunia chanzo, I predict hi next topic to be about Burundi
 
bado sijaona kiumbe wa kuiongoza Rwanda, rwanda inahitaji kiongozi mwenye uchungu na nchi yake kwanza awe mtutsi sababu wameonewa sana.
rwanda inahitaji mpiganaji mahiri ataeweza kutoa sauti na nchi itulie. nasema tena kagame is the best to rule ever rwanda till he dies! na hapo hapo wanywrwanda waombe aibuke mbabe mwingine tena wa kuisimamisha nchi iwe na amani.
Kwa mawazo haya,ninaamini wewe ni mtusi na unafurahia sana madhira wanayoyapata wahutu. Lakini nakusihi sana ukumbuke,kadri unavyomtesa MTU na kum-bana ndivyo anavyotafuta ni namna gani ya kujiokoa. Paulo aliondoka Rwanda akiwa na miaka minne tu lakini alirudi Rwanda mwanzoni mwa miaka ya 90 kwa mkono wa mtutu. Amini, wahutu siku yoyote watajitetea na kurudi Rwanda kwa jinsi mlivyorudi Rwanda.
 
Kwa mawazo haya,ninaamini wewe ni mtusi na unafurahia sana madhira wanayoyapata wahutu. Lakini nakusihi sana ukumbuke,kadri unavyomtesa MTU na kum-bana ndivyo anavyotafuta ni namna gani ya kujiokoa. Paulo aliondoka Rwanda akiwa na miaka minne tu lakini alirudi Rwanda mwanzoni mwa miaka ya 90 kwa mkono wa mtutu. Amini, wahutu siku yoyote watajitetea na kurudi Rwanda kwa jinsi mlivyorudi Rwanda.
malipo na hapa duniani mjomba, we unadhani watutsi hawakuisubiria siku kama hii waliyo nayo? unajua watutsi walivyoteswa miaka ya nyuma wewe? R.I.P hutu na bado wapuuz sana hawa watu
 
Kwa mawazo haya,ninaamini wewe ni mtusi na unafurahia sana madhira wanayoyapata wahutu. Lakini nakusihi sana ukumbuke,kadri unavyomtesa MTU na kum-bana ndivyo anavyotafuta ni namna gani ya kujiokoa. Paulo aliondoka Rwanda akiwa na miaka minne tu lakini alirudi Rwanda mwanzoni mwa miaka ya 90 kwa mkono wa mtutu. Amini, wahutu siku yoyote watajitetea na kurudi Rwanda kwa jinsi mlivyorudi Rwanda.
Swadaka kaka maekezo yako ni mafupi lakini yamesheheni malengo ya wahutu yote next years
 
Intersting story,history inaandikwa,naifananisha na ile ya marehemu mchungaji mtikila...
"Dunia inastaili kukumbuka madhira yote iliyopita na itakayo kuja kuyapita namna pekee ya kuifadhi kumbukumbu hiyo ni kwa maadiko pekee" (Hipocratus- 301BC).

Hivyo kaka tusipo yaandika hayo tuyakuwa atujawatendea haki kizazi chetu kijacho
 
Mkuu hongera kwa makala yako ila siku nyingine jitahidi kuficha identities ya hao ulio wauliza maswali tofauti ,Mfano huyo Juvenile Bosco aliyekuambia kuna ukabila nchini kwao ,kesho unaweza kuletewa kichwa chake kama zawadi
 
malipo na hapa duniani mjomba, we unadhani watutsi hawakuisubiria siku kama hii waliyo nayo? unajua watutsi walivyoteswa miaka ya nyuma wewe? R.I.P hutu na bado wapuuz sana hawa watu
Unachokisema kinaakisi tabia za Watusi walio wengi. Mtusi kawaida yake huwa ni jino kwa jino,tabia hii itawaponza mtakuwa wakimbizi miaka yote. Nelson Mandela aliteswa sana na makaburu,walimfunga jela na kumfanyia kila dhihaka,alipoikamata nchi alihimiza maridhiano ya kweli ya kitaifa mpaka leo Afrika Kusini ni shwari. Melchior Ndadaye alipoikamata Burundi hakulipiza kisasi kwa Watusi waliokuwa wanaua wahutu kama nzige kwa miaka naenda rudi. Wahutu wote waliotawala Burundi,kama Sylivestre Ntibantunganya,Cyprien Ntaryamira,Ndadaye Melchior wala Pierre Nkurunziza,hawajathubutu kuwaua Watusi wala kulipiza kisasi. Huo ndio utu.
 
Unachokisema kinaakisi tabia za Watusi walio wengi. Mtusi kawaida yake huwa ni jino kwa jino,tabia hii itawaponza mtakuwa wakimbizi miaka yote. Nelson Mandela aliteswa sana na makaburu,walimfunga jela na kumfanyia kila dhihaka,alipoikamata nchi alihimiza maridhiano ya kweli ya kitaifa mpaka leo Afrika Kusini ni shwari. Melchior Ndadaye alipoikamata Burundi hakulipiza kisasi kwa Watusi waliokuwa wanaua wahutu kama nzige kwa miaka naenda rudi. Wahutu wote waliotawala Burundi,kama Sylivestre Ntibantunganya,Cyprien Ntaryamira,Ndadaye Melchior wala Pierre Nkurunziza,hawajathubutu kuwaua Watusi wala kulipiza kisasi. Huo ndio utu.
moyo wangu uko ivo mkuu siwezi pata amani mpaka na mimi nilipize, ndo nilivyoumbwa
 
Back
Top Bottom