Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,491
Mjadala mkubwa kwa sasa Duniani kwa wapenzi wa mpira ni Man Utd kutaka kumsajili Pogba kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao Msimu ujao. Lakini klabu inayommiliki Paul Pogba, Juventus ya Nchini Italy inahitaji Paundi Milioni 100 kama ada ya uhamisho ili kuweza kumuachia mchezaji huyo.
Je ni kweli Pogba ana thamani ya Paundi Milioni 100? Ada ambayo itavunja rekodi ya Dunia katika Uhamisho? Tuweke unazi pembeni, Pogba ana nini cha ziada kufikia hela hiyo? Je Pogba anakuzwa kuliko uwezo wake? Kama Pogba anauzwa kwa bei hiyo, Zidane angeuzwaje leo hii kama angekuwa anacheza?
Karibuni tujadili.
Je ni kweli Pogba ana thamani ya Paundi Milioni 100? Ada ambayo itavunja rekodi ya Dunia katika Uhamisho? Tuweke unazi pembeni, Pogba ana nini cha ziada kufikia hela hiyo? Je Pogba anakuzwa kuliko uwezo wake? Kama Pogba anauzwa kwa bei hiyo, Zidane angeuzwaje leo hii kama angekuwa anacheza?
Karibuni tujadili.