Je, ni kweli p2 inazuia mimba?

Kwanza, pole mtoa mada! Cha pili huwezi pata mimba kama ulifanya siku ya 2 baada ya kumaliza kubleed(kamwee)!!! Cha tatu naona huku watu wanajazana ujinga kuhusu matumizi na athari za p2,, P2 hazina madhara yoyote kwa baadae kama kizazi chako kipo sawa matumizi yake hayawezi kusababisha badae ushindwe kushika mimba!! Unashauriwa tu usitumie zaidi ya mara 2 in one cycle kwasabab itasababisha kuvurugika kwa mzunguko wako wa kawaida!! Kwahyo wewe nakushauri mwezi huu jaribu kutumia kinga au njia yoyote ya mpango maana cycle yako itavurugika kidogo na unaweza kuchelewa kuona period zako!
 
Habari za mda huu, naamini ni wazima wa afya na kama yupo anaeumwa Mungu atampa nafuu.

Niende kwenye point, iko ivi nilisex na mme wangu siku 2 baada ya KUMALIZA hedhi, yaani zile siku ambazo ni salama ila alimwagia ndani😥

Ikabidi nitumie p2 mapema kabla ya masaa 24 kuisha. Yote ni kuhofia nisije beba mimba nyingine maana nina mtoto wa miezi 7 now.

So naomba kwa wenye uzoefu wa hizo p2 mnijuze, kuwa ni kweli zinazuia ujauzito?
Siku ni salama p2 ya Nini mkuu? 🤣🤣
 
Kwanza, pole mtoa mada! Cha pili huwezi pata mimba kama ulifanya siku ya 2 baada ya kumaliza kubleed(kamwee)!!! Cha tatu naona huku watu wanajazana ujinga kuhusu matumizi na athari za p2,, P2 hazina madhara yoyote kwa baadae kama kizazi chako kipo sawa matumizi yake hayawezi kusababisha badae ushindwe kushika mimba!! Unashauriwa tu usitumie zaidi ya mara 2 in one cycle kwasabab itasababisha kuvurugika kwa mzunguko wako wa kawaida!! Kwahyo wewe nakushauri mwezi huu jaribu kutumia kinga au njia yoyote ya mpango maana cycle yako itavurugika kidogo na unaweza kuchelewa kuona period zako!
Hawezi kupata mimba kamwe? Yani afanye two days after period af asipate wakati mbegu inakaa five days ikiwa hai inazagaa humo inasubiri yai. So kupata uwezekano upo.
 
Back
Top Bottom