Majs
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 229
- 485
amna mwangu kuna mtu ninemuliza APA naona kama ananidanganyaTayari huko!
amna mwangu kuna mtu ninemuliza APA naona kama ananidanganyaTayari huko!
Ni Game iyo mkuu tafuta P4 ndio utafurahia Jini Haaland unamuona kama alivyo !!!Nimeuliza majibu niliyopewa sijui kama ni ya kweli au la
Vipi kulikua na complications zozote kwa mama au kwa mtoto ?Sidhan kama p2 inazuia kwa watu wote,mm karibu mara 2 nzima hizo p2 zimeshindwa fanya kaz kabisa
Nilishangaa sn lkn ndo hivo najulishwa mtu ana ujauzito na wote niliwasimamia kunywa dawa hio baada ya mchezo
Siku ni salama p2 ya Nini mkuu? 🤣🤣Habari za mda huu, naamini ni wazima wa afya na kama yupo anaeumwa Mungu atampa nafuu.
Niende kwenye point, iko ivi nilisex na mme wangu siku 2 baada ya KUMALIZA hedhi, yaani zile siku ambazo ni salama ila alimwagia ndani😥
Ikabidi nitumie p2 mapema kabla ya masaa 24 kuisha. Yote ni kuhofia nisije beba mimba nyingine maana nina mtoto wa miezi 7 now.
So naomba kwa wenye uzoefu wa hizo p2 mnijuze, kuwa ni kweli zinazuia ujauzito?
Hawezi kupata mimba kamwe? Yani afanye two days after period af asipate wakati mbegu inakaa five days ikiwa hai inazagaa humo inasubiri yai. So kupata uwezekano upo.Kwanza, pole mtoa mada! Cha pili huwezi pata mimba kama ulifanya siku ya 2 baada ya kumaliza kubleed(kamwee)!!! Cha tatu naona huku watu wanajazana ujinga kuhusu matumizi na athari za p2,, P2 hazina madhara yoyote kwa baadae kama kizazi chako kipo sawa matumizi yake hayawezi kusababisha badae ushindwe kushika mimba!! Unashauriwa tu usitumie zaidi ya mara 2 in one cycle kwasabab itasababisha kuvurugika kwa mzunguko wako wa kawaida!! Kwahyo wewe nakushauri mwezi huu jaribu kutumia kinga au njia yoyote ya mpango maana cycle yako itavurugika kidogo na unaweza kuchelewa kuona period zako!
Ilibid nitumie njia nyingine ndio nikafanikiwa ila kwa p2 ziligoma na hata hakuendelea na huo ujauzitoVipi kulikua na complications zozote kwa mama au kwa mtoto ?