RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,590
- 8,475
Ningependa watu wajadili hoja hio ya Mh Mbatia kuwa NCCR Mageuzi, haikunufaika na Ukawa bali ilizamishwa na Ukawa? Je, kuna ukweli hapo? Maana sikufahamu Kama NCCR Mageuzi ilikuwa na wabunge 6 kabla ya 2015, na kabaki mmoja tu.
Kwamba aliitoa taasisi ya NCCR Mageuzi kisa Ukawa lkn hakulalamika.
Je, mfano CUF&CHADEMA&ACT Kuna chama kimojawapo kinaweza ruhusu kipungukiwe na wabunge kisa ushirika?
Je, inawezakana mwaka huu CHADEMA wakaachia mgombea uraisi atoke chama kingine, Kisha wao kwa nguvu yao wamsapoti ili kuonesha ushirika wa kweli?
Je, inawezekana maalimu akubali kuaacha kugombea uraisi Zanzibar, awapishe CHADEMA Kisha yeye awasapoti?
Kama upinzani watashirikiana basi wawe makini na kushirikiana kwao, bila tume huru ya uchaguzi hakuna uchaguzi huru.
Mageuzi ya kweli yalisalitiwa 2015 kwa kumpa tiketi fisadi kugombea uraisi.
Kwamba aliitoa taasisi ya NCCR Mageuzi kisa Ukawa lkn hakulalamika.
Je, mfano CUF&CHADEMA&ACT Kuna chama kimojawapo kinaweza ruhusu kipungukiwe na wabunge kisa ushirika?
Je, inawezakana mwaka huu CHADEMA wakaachia mgombea uraisi atoke chama kingine, Kisha wao kwa nguvu yao wamsapoti ili kuonesha ushirika wa kweli?
Je, inawezekana maalimu akubali kuaacha kugombea uraisi Zanzibar, awapishe CHADEMA Kisha yeye awasapoti?
Kama upinzani watashirikiana basi wawe makini na kushirikiana kwao, bila tume huru ya uchaguzi hakuna uchaguzi huru.
Mageuzi ya kweli yalisalitiwa 2015 kwa kumpa tiketi fisadi kugombea uraisi.