Je, ni kweli mtoto mchanga kitovu kikikatika kikaangukia kwenye uume hatoweza kusimamisha?

dumbi

JF-Expert Member
Jan 15, 2018
989
1,523
Habari zenu wakuu?kama swali linavyojieleza hapo juu kumekuwa na Imani kwamba mtoto mchanga kitovu kisiangukie kwenye uume wake kwani itasabisha uume wake kutodinda je ni kweli au Imani tu?

Madaktari wetu tunaomba mtusaidie kuhusu Imani hii kama kwelii au sio kweli, kama ni kweli je sababu zipi zinazofanya uume usisimame kwa kuangukiwa na kitovu.

Vile vile wanaoamini Imani hii watupe sababu ya kitovu kuleta athari hii kwa mtoto.

Asante.
 
Hii Inshu ni kweli na niliisikia kwa wazee uko kijijin ila bado sija prove sayansi inasemaje ktka hil
 
na wa kike kikimuangukia anakua mrembo kikojozi maisha yake yote
 
Hii ishu ina ukwel ndani yake kwa mujibu wa wazee wa zaman,ila kisayansi haina uthibitisho,binafsi nliwahi sikia mtoto wa kiume ile 1200 haiamki inalala kwa mwanaume ila mwanamke anakua hawezi kuzaa mpaka ashiriki tendo na baba yake vile vile kwa mwanaume mpaka ashiri na mzaz wake,sasa hapa utauliza vp ashirik tendo wakati mzgo hauna network,iko ivi si lazma ashiriki asilimia zote mzigo akishauegesha kwa bib hata kama jogo hawiki ukilazmika ukaenda ndani bac wanadai ndo amepona na atashriki
 
Habari zenu wakuu?kama swali linavyojieleza hapo juu kumekuwa na Imani kwamba mtoto mchanga kitovu kisiangukie kwenye uume wake kwani itasabisha uume wake kutodinda je ni kweli au Imani tu?

Madaktari wetu tunaomba mtusaidie kuhusu Imani hii kama kwelii au sio kweli, kama ni kweli je sababu zipi zinazofanya uume usisimame kwa kuangukiwa na kitovu.

Vile vile wanaoamini Imani hii watupe sababu ya kitovu kuleta athari hii kwa mtoto.

Asante.
Acha tumsubiri Ulisikia Wapi atujuze!
 
Hakuna ukweli wowote ni Myths tu kutoka kwa Wazee wetu ili wamuandae kisaikolojia Mzazi awe makini katika kuangalia kitovu hivyo atakuwa anakifunika ili kisimuangikie mtoto on the other hand atakuwa anamkinga na bacteria.
 
Habari zenu wakuu?kama swali linavyojieleza hapo juu kumekuwa na Imani kwamba mtoto mchanga kitovu kisiangukie kwenye uume wake kwani itasabisha uume wake kutodinda je ni kweli au Imani tu?

Madaktari wetu tunaomba mtusaidie kuhusu Imani hii kama kwelii au sio kweli, kama ni kweli je sababu zipi zinazofanya uume usisimame kwa kuangukiwa na kitovu.

Vile vile wanaoamini Imani hii watupe sababu ya kitovu kuleta athari hii kwa mtoto.

Asante.

Hii kuthibitisha Ngumu sana kwa Hapa bongo
Labda Wazungu waje ndio watuthibitishie kisayansi ila Kwa wabongo hakuna Data wa Research
 
Hii ishu ina ukwel ndani yake kwa mujibu wa wazee wa zaman,ila kisayansi haina uthibitisho,binafsi nliwahi sikia mtoto wa kiume ile 1200 haiamki inalala kwa mwanaume ila mwanamke anakua hawezi kuzaa mpaka ashiriki tendo na baba yake vile vile kwa mwanaume mpaka ashiri na mzaz wake,sasa hapa utauliza vp ashirik tendo wakati mzgo hauna network,iko ivi si lazma ashiriki asilimia zote mzigo akishauegesha kwa bib hata kama jogo hawiki ukilazmika ukaenda ndani bac wanadai ndo amepona na atashriki
Hamna kitu ulidanganywa na hao wazee wako. Fikra potofu
 
Back
Top Bottom