Je, ni kweli Moshi na Arusha ndo inaongoza kwa kuwa na mafundi rangi wazuri wa magari?

Kwa mafundi ambao sio wababaishaji Moshi ni hakika, gari ikiwa ina tatizo unaelezwa straight na anachosema ndicho hasa na gharama zao ndio zitakuacha taya wazi.

Huku Dar mtu kufunga wishbone bush tu anataka umpe 20K wakati moshi kazi hio hio mtu anaifanya hata kwa buku 5!

Overhaul mtu anakufanyia kwa laki 1 Moshi. Ila hapa Daslam mtu wa overhaul lazma umuandalie hela ya tofali za nyumba nzima. Ndio akufanyie hio kazi na pengine hata asiweze akamtafute mtu mwengine ndio amfanyie hio kazi.

Body works ukiwa na 30K gari wana clear dents zote na kurudishia rangi. Hapa Dar hio 30K ni labour charge tu 😂😂😂
Niliifumua hiace pale mkabala na msikiti wa Riadha double road inapoanzia/ishia. Wanapaki hovyo hovyo!!

Jamaa akaita fundi wake kuuliza bei 10,000. Nilimuuliza mara mbili mbili.

Yangu nayo kunyoosha na kupiga rangi 15,000 nikachoka kabisa.

NimepAnga niipeleke body gari nzima huko huko Moshi
 
Kwa mafundi ambao sio wababaishaji Moshi ni hakika, gari ikiwa ina tatizo unaelezwa straight na anachosema ndicho hasa na gharama zao ndio zitakuacha taya wazi.

Huku Dar mtu kufunga wishbone bush tu anataka umpe 20K wakati moshi kazi hio hio mtu anaifanya hata kwa buku 5!

Overhaul mtu anakufanyia kwa laki 1 Moshi. Ila hapa Daslam mtu wa overhaul lazma umuandalie hela ya tofali za nyumba nzima. Ndio akufanyie hio kazi na pengine hata asiweze akamtafute mtu mwengine ndio amfanyie hio kazi.

Body works ukiwa na 30K gari wana clear dents zote na kurudishia rangi. Hapa Dar hio 30K ni labour charge tu

Garage gani Moshi Mkuu?
 
Story za magari moshi na arusha ni kweli, hii nikutokana na interaction na Nairobi, maana hata ukiangalia lifestyle za magari ya hapa na mafundi ukienda Nairobi kama zinaendana, gereji zenyewe n bubu za mtaani tu ila chuma inatoka imenyooka.

Ila kama wewe sio muongeaji mfuko wako umevimba unahitaji gareji mzuri wanakuagizia
 
... Moshi na Arusha wana connection za karibu sana na Nairobi; spare za kila aina zipo Nairobi ni sauala la kuvuka mpaka kwa bodaboda kuzifata. Interaction ya pande hizo mbili imesaidia pia kuwajengea uwezo mafundi wa miji hiyo.

Spare kwa mfano za Peugeot, Volvo, Maserati, etc. utazipata wa Dar? Mpaka uagize mitandaoni wakati Nairobi ziko tu madukani tena GENUINE tofauti na Dar magumashi mengi.
kutembea kwingi nikuona mengi. Spare ni mingi na tena za magari ya generation ya sasa unapata
 
Niliifumua hiace pale mkabala na msikiti wa Riadha double road inapoanzia/ishia. Wanapaki hovyo hovyo!!

Jamaa akaita fundi wake kuuliza bei 10,000. Nilimuuliza mara mbili mbili.

Yangu nayo kunyoosha na kupiga rangi 15,000 nikachoka kabisa.

NimepAnga niipeleke body gari nzima huko huko Moshi
Arusha kuna siku mtu alitaka kupiga rangi side mirror kwa 60k.



Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
 
Habari wadau,

Ninahitaji Fundi rangi mzuri, nimefanya research kati ya watu 8 katika 10 wanasema nipeleke gari Moshi au Arusha sababu wanajua vizuri kupiga rangi.

Je, ni kweli wanapatikana huko tu?
kweli kwa upande wa kaskazini yaani Arusha, Moshi, n Tanga wako vizuri kuliko maelezo kuanzia kweny body modification, overhall na upande wa rangi wanashikilia namba moja utajutiaa maamuzi yako......
 
Hana Upinzani huyu Yuko Moshi
IMG-20210610-WA0003.jpg
 
Back
Top Bottom