Je, ni kweli Mkwe taswira?

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,844
...eti jamani naomba kuuliza...

Eti ni kweli iwapo Mama Mkwe alizaa na wanaume kadhaa basi na mkeo mtarajiwa naye ndio hivyo tena (Abiria chunga mzigo wako?)

Nimeusikia msemo ati; Tabia ya mkwe ndio taswira ya mkeo, ukitaka chagua mchumba basi muangalie Mkweo!".
nachelea kesi ya nyani kujampelekea ngedere huko mbele ya safari!
 
SI Kweli....inawezekana baadhi wakaiga...lkn muhim unaemuoa ajue wajibu wake...
Kitu cha Msingi ujue mara ya kwanza kukutana na Mkeo ilikuwa wapi..ikiwa mlikutana BAA basi ujue tabia zinaendelea...unless nyote mtubu....na Mkikutana ktk Academics area basi nafikiri kipindi mpo hapo unaweza mjua tabia zake..like tabia ya kwenda Ma-disco usiku, ulevi...hivyo vitu muhim tangu unachagua mchumba!!!

Kingine si vema kuwa tunawalaumu wanawake..wanaume pia wanahusika...ikiwa mmekutana kabla ya NDOA basi uwezekano wa kutembea Nje ya NDOA nao ni mkubwa.

KIUFUPI MKE BORANI YULE AMBAE INGINI YAKE HUIJUI...na HAPO NDIPO HESHIMA INAKUWEPO!!!

KUNA MSEMO WA KIARABU UNASEMA "KAMA TADINU TUNADU" kama vile ulivyotenda ndivyo utakavyolipwa...Ukitembea na Mke wa MTU, watu pia watatembea na Mkeo...na chain nzima!!!
 
...eti jamani naomba kuuliza...

Eti ni kweli iwapo Mama Mkwe alizaa na wanaume kadhaa basi na mkeo mtarajiwa naye ndio hivyo tena (Abiria chunga mzigo wako)?

Nimeusikia msemo ati; Tabia ya mkwe ndio taswira ya mkeo, ukitaka chagua mchumba basi muangalie Mkweo!".
nachelea kesi ya nyani kujampelekea ngedere huko mbele ya safari!

Mbu hapo naona umekuwa na ka- mtazamo fulani ka-kuangalia upande tu wa mama zetu, Niulize je na akina siye tuangaliwe kama taswira ya vijana wetu au ndo iweje? Kwa mtazamo tabia ni kweli mtu anaweza kurithi kwa wazazi ila sio zote. pia tuangalie kipengere cha tabia njema. mbona unaweza kukuta mzazi ana tabia nzuri ila mtoto ni balaaa kabisa hafai tena wawejakuta ni jambazi linalotumia silaha. hapa nani alaumiwe?
Nawakilisha
 
Mbu hapo naona umekuwa na ka- mtazamo fulani ka-kuangalia upande tu wa mama zetu, Niulize je na akina siye tuangaliwe kama taswira ya vijana wetu au ndo iweje? Kwa mtazamo tabia ni kweli mtu anaweza kurithi kwa wazazi ila sio zote. pia tuangalie kipengere cha tabia njema. mbona unaweza kukuta mzazi ana tabia nzuri ila mtoto ni balaaa kabisa hafai tena wawejakuta ni jambazi linalotumia silaha. hapa nani alaumiwe?
Nawakilisha

...la hasha, si kwamba am stereotyping jinsia fulani, ni swali tu kuhusiana na hoja niloisikia 'mtaani' kuhusiana na 'taswira'. Nadhani ukichungua sana, ndio maana koo nyingi za kiafrika, na kiasia zina tabia ya kuoa familia wanazofahamiana/baada ya kuchunguzana kujiepusha na tabia mbaya/magonjwa ya kurithi (hereditary diseases) nk.

Kwa swali hilo, yawezekana pia bahati mbaya Baba Mkwe ni Chapombe kweli kweli, kuna tahadhari binti yafaa akachukua kujiepusha kuolewa katika familia hiyo ili siku mambo yakimfika kwa ulevi wa mumewe, ajue alijitakia?

maana wanasema like father like son!

au?
 
SI Kweli....inawezekana baadhi wakaiga...lkn muhim unaemuoa ajue wajibu wake...
Kitu cha Msingi ujue mara ya kwanza kukutana na Mkeo ilikuwa wapi..ikiwa mlikutana BAA basi ujue tabia zinaendelea...unless nyote mtubu....na Mkikutana ktk Academics area basi nafikiri kipindi mpo hapo unaweza mjua tabia zake..like tabia ya kwenda Ma-disco usiku, ulevi...hivyo vitu muhim tangu unachagua mchumba!!!

Kingine si vema kuwa tunawalaumu wanawake..wanaume pia wanahusika...ikiwa mmekutana kabla ya NDOA basi uwezekano wa kutembea Nje ya NDOA nao ni mkubwa.

KIUFUPI MKE BORANI YULE AMBAE INGINI YAKE HUIJUI...na HAPO NDIPO HESHIMA INAKUWEPO!!!

KUNA MSEMO WA KIARABU UNASEMA "KAMA TADINU TUNADU" kama vile ulivyotenda ndivyo utakavyolipwa...Ukitembea na Mke wa MTU, watu pia watatembea na Mkeo...na chain nzima!!!

...Swadakta, kwahiyo ni mazingira si malezi yanachangia kubadilika kwa tabia ya mtu? au malezi na mazingira vyote vinachangia tabia hizo?

nauliza hivyo kwakuwa kuna kamsemo mwana umleavyo ndivyo akuavyo, sasa mwana akikuzwa kwenye mazingira ambayo hamjui baba yake, na wadogo zake hawawajui baba zao, nadhani huyo mume/mke ana asilimia kubwa ya kutokuwa muadilifu katika ndoa pia, au?

nachelea hiyo ulosema 'Chain nzima', kwani ina sound kama samaki mmoja akioza...! au ndio maana wenye itikadi nyingine wanasema "mzinifu atamuoa mzinifu mwenzie"!?
 
Mbu hapo naona umekuwa na ka- mtazamo fulani ka-kuangalia upande tu wa mama zetu, Niulize je na akina siye tuangaliwe kama taswira ya vijana wetu au ndo iweje? Kwa mtazamo tabia ni kweli mtu anaweza kurithi kwa wazazi ila sio zote. pia tuangalie kipengere cha tabia njema. mbona unaweza kukuta mzazi ana tabia nzuri ila mtoto ni balaaa kabisa hafai tena wawejakuta ni jambazi linalotumia silaha. hapa nani alaumiwe?
Nawakilisha


Haswaaaaa!

Aditionally mimi nadhani ukweli unaweza kuwepo kwa namna ya mazoea. Kama ni mama kuzaa na wanaume tofauti au vinginevyo, hii itategemea na mazingira fulani fulani. Lakini kwa upande mwingine, kama msichana (au mvulana) amekuzwa kwenye nyumba ilovunjika (divorce) au anaona baba anampiga mama, wakikua wanaweza kuona matendo hayo ni kawaida tu, na hivyo nao kuyafanya hivyo hivyo au kuyakubali watendewe.
 
...eti jamani naomba kuuliza...

Eti ni kweli iwapo Mama Mkwe alizaa na wanaume kadhaa basi na mkeo mtarajiwa naye ndio hivyo tena (Abiria chunga mzigo wako)?

Nimeusikia msemo ati; Tabia ya mkwe ndio taswira ya mkeo, ukitaka chagua mchumba basi muangalie Mkweo!".
nachelea kesi ya nyani kujampelekea ngedere huko mbele ya safari!

Kwa mtazamo wangu wa kibayolojia katika ile topiki ya tabia tunazorithi unaweza kuwa uko sahihi, lakini pia unaweza ukawa hauko sahihi kwani kuna baadhi ya tabia zinasababishwa na mazingira hasa hili la kuzaa nje ya ndoa. Ni suala linalosababishwa na ushawishi tu si tabia. Kwa hiyo usijali umuonavyo mama kwa mabaya yake si hata kwa bintiye.
 
i suggest u read a small book titled "my mother,Myself" its a novel based on true research on feminine behaviour.

my take:
It may not be the case, as the ultimate behavior to be engaged with multiple men is a personal decision. Though circumstances matter, but will power and clear concience of ones responsibilities are greater. The girl may have hated the mothers behavior leading her to be the best wife ever.
 
my take:
It may not be the case, as the ultimate behavior to be engaged with multiple men is a personal decision. Though circumstances matter, but will power and clear concience of ones responsibilities are greater. .

i love this...thank you!

Ubarikiwe!
 
Watoto wanapokua wanaiga mambo yafanywayo na watu wa karibu lakini akifikia umri fulani anakuwa na akili yake independent na maamuzi pia, kuna wengine huchukia kabisa tabia za wazazi wao na wengine hizifuata, cha muhimu hapa umchunguze mtarajwa wako awe mume au mke na kujua kinachoendelea
 
...eti jamani naomba kuuliza...

Eti ni kweli iwapo Mama Mkwe alizaa na wanaume kadhaa basi na mkeo mtarajiwa naye ndio hivyo tena (Abiria chunga mzigo wako)?

Nimeusikia msemo ati; Tabia ya mkwe ndio taswira ya mkeo, ukitaka chagua mchumba basi muangalie Mkweo!".

nachelea kesi ya nyani kujampelekea ngedere huko mbele ya safari!

shehe vipi umevaba au ndo umepata mchumba na hauna uhakika naye??
 
shehe vipi umevaba au ndo umepata mchumba na hauna uhakika naye??

...ha ha, asimuliaye mvua si wanasema imemnyea? anyway, la hasha ndugu yangu, najiandaa "kuozesha!"
 
Shekhe
Nimekupata kama si kuelewa. Ni kweli kwamba kila mtu huwa amepitia malezi aina fulani lakini naepusha kusema kuwa alivyo mama ndivyo bintiye alivyo, tabia ya ukubwani ni hulka ya mtu na husababishwa na aina ya marafiki, mazingira na mitazamo.
Ila kuna makabila (najua si vizuri kuhoji makabila) ambayo binti huwa side moja na mama yake, Bila kuficha nataja kabila la warangi ambao lao moja na ni kuchuna mpaka mchunwaji akome. Binti atamjengea mama yake nyumba, na zawadi zitakuwa zinatumwa kwa mama kila mara, halafu huwa ni siri yao. Hii haimaanishi kuwa kila mrangi au makabila fulani ni wahanga wa mila zao, ila kutokana na mwingiliano na maendeleo ya nchi, sasa unaweza kumjudge mtu kwa hulka zake na si atokapo.

Je mchongoma unamuozesha Max?? just kidin!

Hongera mkuu
 
Mkwe taswira..
1.Msemo huu ni wa kihistoria, kwa maana umekuwepo kwa muda mrefu.
kwa jinsi hiyo wahenga kutokana na mapito waliyopitia,walifika mahala wakafanya majumuisho ya mapito yao kwa maneno mawili tu..." Mkwe Taswira".
2.Binadamu ana style mbili kuu za kubehave katika maisha yake ya kila siku:
(a)Dominant Style.
Ni zile tulizojengewa na mazingira na ambazo mara nyingi ni rahisi mtu wa nje akaisoma hiyo tabia.
(b)Backup Style.
Ni ile ambayo si rahisi mtu kuisoma au kuitambua na mara nyingi hii ni ile iliyo kwenye damu.
Hivyo basi katika maisha yetu tunamove kutoka style moja kuhamia nyingine kutegemeana na mazingira na suala mtu analopambana nalo.

SWALI LA KUJIULIZA:
Ni wakati gani katika maisha yenu kama mke na mume,mwenza wako atoperate kutoka kwenye dominant style na ni wakati upi ataoperate kutoka kwenye backup style. HILO NDILO LA MSINGI.

Tukumbuke tunaoperate kwenye moja ya hizo style kutokana na Mazingira ya suala lililopo ambapo kama familia mnataka kulipatia ufumbuzi au muelekeo.
LAKINI UZOEFU UNATUONYESHA KUWA,MAMBO YOTE MAGUMU AMBAYO BINADAMU ANAPAMBANA NAYO ANATATUMIA BACKUP STYLE.
DOMINANT NI PALE MAISHA YANAPOKUWA YA RAHA MUSTAREHE.

Hivyo Ndugu zangu "Mkwe Taswira" Oh.
 
...eti jamani naomba kuuliza...

Eti ni kweli iwapo Mama Mkwe alizaa na wanaume kadhaa basi na mkeo mtarajiwa naye ndio hivyo tena (Abiria chunga mzigo wako)?

Nimeusikia msemo ati; Tabia ya mkwe ndio taswira ya mkeo, ukitaka chagua mchumba basi muangalie Mkweo!".

nachelea kesi ya nyani kujampelekea ngedere huko mbele ya safari!

Mm binafs naamin kila mtu anatabia yake,ila kwa kias fulan kama familia ina tabia chafu lazima kuna mmoja huwa anarith, sasa nachelea mtu asije akaoa yule ambaye ndo karith utakoma!,ila tunapochagua mashamba yetu ya kuweka mbegu ni bora tukaisoma vizur cv ya wakwe,wahenga wanasema lisemwalo lipo na kama halipo lipo njian laja kuwa makin ktk kuchagua.
 
...eti jamani naomba kuuliza...

Eti ni kweli iwapo Mama Mkwe alizaa na wanaume kadhaa basi na mkeo mtarajiwa naye ndio hivyo tena (Abiria chunga mzigo wako)?

Nimeusikia msemo ati; Tabia ya mkwe ndio taswira ya mkeo, ukitaka chagua mchumba basi muangalie Mkweo!".

nachelea kesi ya nyani kujampelekea ngedere huko mbele ya safari!

This post and thread is discriminating against women with children by more than one man.So what are you trying to say, women with children by more than one man are whores? Undesirable?
 
This post and thread is discriminating against women with children by more than one man.So what are you trying to say, women with children by more than one man are whores? Undesirable?

...I deeply regret (if) any offence caused. It was NOT my intention to show prejudice, or discriminate anybody in any form or practice.

...back to your Qst!

"WHORES" is a big word ndugu, hebu temea mate pembeni!, Undesirable is understatement! kinachozungumzwa hapa ni Responsibilities pamoja na dysinfunctional family!

hebu soma hii true story halafu uta judge mwenyewe,

by Josie Blanco
Having children with different fathers.
Does it run in the family?

I have children with 3 different fathers.
My mom had 4 children with 4 different fathers.
My grandmother(my mom's mom)had 6 children with 4 different fathers.
My aunt has 6 children with 4 different fathers.
I was only 16 years old when I had my first child.
Of course,I thought that me and my boyfriend would be together forever.
We had 2 more kids together,and we only stayed together for 8 1/2 years.
I always told myself that I wasn't ever going to have children with anyone else.
Only because I did not want to carry on the family tradition of having kids with multiple fathers.
I ended up with some guy who was very abusive.
We stayed together for 9 years.
I had a kid from him.
I didn't want any children from him.
When I had my first 3 children it was out of love,and it wasn't out of love when I had my 4th kid.
So that kid lives with my mom.
Then I got married to a man that I had known for 10 years.
I had a huge crush on him,for 10 years.
We finally got together and got married.
We have 3 beautiful girls together.
I had never wanted to have children with different fathers,but sometimes people fall in love with someone else,especially if you had your first baby at a young age.
I used to think my mom was a slut because she had kids with multiple fathers,but then I realized she was a slut for many other reasons.
I learned that sometimes having kids with multiple fathers doesn't mean the girl is a tramp or slut.
I know that in my situation,it wasn't because I was running around sleeping with a lot of different men.
It was just because I didn't get abortions when I got pregnant.
I was with each man for over 8 years,so it's not like I just keep getting pregnant from random men.
I used to think bad about siblings with different fathers, even though my 2 brothers ,a sister whom I've never met because my mom put her up for adoption,and I have different dads.
Now I know that was wrong for me to think that way.
I see a lot of girls who do sleep with random men and they don't have any children from them because they either have an abortion or they are on birth control
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom