Je, ni kweli mji wa Mecca upo katikati ya dunia?

hapana hawajaruka angani ila sisi waafrika tumeruka angani mara nyingi tu.nenda shule kasome msinunue simu tu mnaingia kwenye mtandao hujui kitu eghypt misri ni nchi kwanza kuvumbua herufi a b c d sio mzungu misri ni nchi ya kwanza kuvumbua saa
We nawe una mihemko sana kwan nani ajaenda shule sio kwenda shule ni kujua vitu vyote kijana jipange sasa nani amekubishia ingawa umejibu vizur mwanzo ila inaonekana we unakimbelembele sana
 
kuna mtizamo wa kijeografia na mtizamo wa kiimani, swali hili ni gumu kulijibu labda mtoa mada aeleze hao watu aliowasikia walikuwa wakizungumzia katika mtazamo gani
 
kuna formula moja ya hesabu ya miaka ya karibuni inaitwa PHI (Golden ratio) inetumika kusolve mambo mengi sana duniani. mimi si mtaalamu sana wa hesabu ila nitajitahidi kuelezea kadri ya uwezo wangu.

Golden ratio ni nini
PHI kama ilivyo PI (22/7 au 3.14 inayotumika kwenye duara) ni namba ya maajabu sana. hupatikana kwa kuchukua mstari na kuugawanya vipande viwili kikubwa na kidogo, na jibu lake liwe ni sawa na mstari wote kugawanya na kipande kirefu.

a/b = (a+b)/a = 1.6180339887498948420

namba hii imetumika sana kusolve mambo ambayo yalikuwa hayaeleweki kabla na ni gumzo kubwa kwenye ulimwengu wa hesabu hata ukienda youtube utaona video nyingi na mabishano mengi sana.

golden number imeprove nini?
-pyramid za misri
-vikonyo vya maua
-mbegu
-shell za wadudu kama konokono
-vidole, mikono, miguu ya binadamu
-Dna za binadamu
-mzunguko wa galaxy etc

kuna mambo mengi sana hii namba ya maajabu imeprove. ila hapa si mahala pake.

phi na centre ya dunia

1. propotion ya kutoka mecca na south pole na north pole ni exactly 1.618

2.ukitumia line za longitude na latitude na phi centre ya dunia sio exactly mecca ila ni nje kidogo ya mji wa mecca, hapa watu wanatumia software kama google earth na Google wenyewe wanasema software yao ni 99% accuracy. hivyo kuna kama 1% mistake ukitake hio into consideration utaona kuna uwezekano kabisa centre ya dunia kuwa ni mecca.

kwa maelezo zaidi soma hapa

https://www.goldennumber.net/golden-ratio-of-earth

kuna video nyingi youtube, articles mbalimbali kwa wale wanaotaka kujifunza. na kama watu wapo interested naweza andika makala kwa urefu zaidi kuelezea golden ratio.
 
IMG_20180119_110317.jpg
Unaona utofauti uliopo, kati ya ww na huyo jamaa.. yy anachojua ni kutukana tuu..
Mkuu ww ni mtu wa imani ya kweli huyu jamaa anamihemko ya dini..
Mnafiki katika ubora wako.

Unajifanya hujui kutukana ebu jicheki hapa
 
Ni kweli najua imeanzia hapo BT mi nataka fact kweli au si kweli sasa mjadala wa dini unatoka wapi? Acheni haya mambo....aise
NB: nilichogundua kuna watu wanahisi wivu mecca kuwa center, km ni kweli wivu wa nin?
Toeni hoja za kijiografia
ndo tatizo limezuka hapo kwingiza dini, anza mwanzo wa page kajaa jamaa ka present vizuri asa kilio chofata ni kejeli za watu fulani kisa haikutajwa vatican basi ndo ilivyo kua hadi sasa iissue imekua dini hapo
 
ndo tatizo limezuka hapo kwingiza dini, anza mwanzo wa page kajaa jamaa ka present vizuri asa kilio chofata ni kejeli za watu fulani kisa haikutajwa vatican basi ndo ilivyo kua hadi sasa iissue imekua dini hapo
Du
 
Waarabu wamekufanya mateka unatumia lugha yao kumuomba mungu wao mume wako ana jina la mwarabu watoto aliokuzalisha kawapa majina ya kiarabu

Ni lazima uwatetee waarabu tu viumbe washenzi kuliko viumbe wote duniani
Si sawa kutukana jamii nzima kwa tabia za baadhi ya watu,maana tukifanya hivyo hakuna jamii ambayo itakayobaki skwa kutokuwa na ushenzi si kwa waafrika wala wazungu.
 
Waarabu wamekufanya mateka unatumia lugha yao kumuomba mungu wao mume wako ana jina la mwarabu watoto aliokuzalisha kawapa majina ya kiarabu

Ni lazima uwatetee waarabu tu viumbe washenzi kuliko viumbe wote duniani
Si sawa kutukana jamii nzima kwa tabia za baadhi ya watu,maana tukifanya hivyo hakuna jamii ambayo itakayobaki kwa kutokuwa na ushenzi si waafrika wala wazungu.
 
Sambamba na Swali hilo, Watanzania wanapoutaja mji wa Dodoma kuwa ndiyo upo kati kati ya nchi Tanzania iko flat, ama umbali wa kutoka Dodoma, mpaka Mtwara, Dodoma kwenda Kagera na Kutoka Dodoma kwenda Kigoma, Dodoma, kwenda Arusha ni sawa. Ningefurahi zaidi swali hili likijibiwa na alieweka mada hii hapa, kutokana na Kigozo ulichoweka Cha Dunia kuwa flat ndipo eneo fulani la Dunia paitwe katikati.
Who told u dodoma ndo katikati ya TZ? Katikati ya TZ ni point flani ndani ya mkoa wa Singida mkuu
 
Si sawa kutukana jamii nzima kwa tabia za baadhi ya watu,maana tukifanya hivyo hakuna jamii ambayo itakayobaki kwa kutokuwa na ushenzi kwa waafrika wala wazungu.
na hao waraabu ni watu vile vile, waliubwa na Mungu mmoja alio kuumba na wewe haka kupa huo ulimi na ukautumia vibaya na bado wewe ni wake tuh.
 
Kwi kwi kwi.

Mkiambiwa nyie makafiri wanafki hamtaki kukubali.

Hivi hujaona wagalatia wenzako walivyoanza shari?

Au ndo divai na mkate wa bwana mnaokula kanisani mkidanganyana mwili wa bwana unakufanya ushindwe kuona ushari wa wenzako

Amma kweli ukiwa mgalatia ni khasara tena kubwa sana.
Kwi Kwi kwi. Una kwiki? Mjahidina wewe!
 
Wagalatia bwana mnanishangaza kweli.

We mwenyewe umefanywa mateka na wale washikaji waliomsulubu mungu wako kwenye kiguzo cha msalaba mpaka akawa analia na kusaga meno kama mtoto.

Cha ajabu leo huoni wala huambiwi kitu kuhusu wao na mpakakufikia kusema atakayewalaani na yeye atalaaniwa.

Pengine hapo ulipo umevaa bendera ya nchi yao kiunoni uku umeshika kiuno unaandika mashudu yako tu hapa.

Daah nyie ni wa kuhurumiwa sana.
Wakuhurumiwa wewe na babu yako muddy mnaedanganywa na Alan(Allah)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom