profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,481
- 3,119
Baada ya kuona makombora ya ulinzi wa anga ya marekani yameshindwa kuilinda saudi arabia,na kupelekea kupigwa na drones za waasi,na hivyo watu wameanza kuongelea makombora ya kisasa ya Russia ya s-400 na s-300.
Vyombo vya magharibi vimeanza propaganda kuwa,nde ya israel f-35 imevinjari katika anga la syria,ikiwamo kambi za urusi,bila kuonwa na radar za s-300 & s-400.
Vyombo vya magharibi vimeanza propaganda kuwa,nde ya israel f-35 imevinjari katika anga la syria,ikiwamo kambi za urusi,bila kuonwa na radar za s-300 & s-400.