mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Tulio wengi tunaujua ule usemi usemao, kila wakati ni wakati wa chai. Na wengi tunapenda kunywa chai kila wakati, nikiri kwamba kwangu mimi ninywapo chai hunichangamsha sana.
Kwa kuwa mimi professionally si daktari kumekuwa na tetesi ambapo inasemekana kwamba, baadhi ya majani ya chai hupunguza kwa kiasi kikubwa nguvu za kiume. Je,ni majani aina gani hayo?
Tafadhali mwenye kujua ukweli atujuze.
Kwa kuwa mimi professionally si daktari kumekuwa na tetesi ambapo inasemekana kwamba, baadhi ya majani ya chai hupunguza kwa kiasi kikubwa nguvu za kiume. Je,ni majani aina gani hayo?
Tafadhali mwenye kujua ukweli atujuze.