Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Mwanamke hachepuki, neno kuchepuka lipo applied only kwa wanaume Ubezea
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila anagawa upendo!!
Aaa kumbe ndo zako ndomana nikirudi likizo huwa unanikwepa na unanionea aibu ipo siku yako tuWadau: ambao ni watumishi mkihamishwa muwe mnaondoka na wake zenu ambao ni watumishi , Maana kuna mmoja tumepanga nae nyumba moja mumewe kahamishwaa ni mwaka sasa bado mkewe hajapata uhamisho wa kufuata mume.
Uvumilivu umemshinda najiliaa tu kama mke .
Duh. Unakaribisha vishawishi 😋😋😋😋Njoo ofisini kwetu unijaribu ili upate majibu. Ndoa yangu ndio kwanza ina miezi mi3 na Hubby yuko Dar me niko Kahama 🏃
Una updatesACHA UKICHAA ..UNAFUFUA NYUZI ZAKO ZOTE ZA HOVYO ..TAFUTA PESA DOGO
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww nenda, ushatunukiwa mzigopapuchi zimekuwa rahisi hivi ?
Usikute ndio namna ya kuvutia wawekezaji!Njoo ofisini kwetu unijaribu ili upate majibu. Ndoa yangu ndio kwanza ina miezi mi3 na Hubby yuko Dar me niko Kahama
Wale jamaa wa Gado wanatandika makofi sio ya dunia hii.Unauliza makofi kwa wanajeshi wa Msumbiji.
Hyo ndo dawa tuUsione serikali inavowabania hamisho wametulia tu..nenda likizo tia mimba yupo atakayeendeleza kukisugua kidonda
Uko halmashaur gnMimi ni mtumishi nipo halmashauri ni ukweli usiopingika kwamba ndoa ambazo zipo geographically separated zina hali mbaya Sana kiuhalisia si wanaume si wanawake ni mwendo wa kupakuwa na kupakuliwa, yupo jamaa yangu amewapakuwa karibu 11 humu ofisini na Kati yao 5 ni wake za walio mbali.
Kama mtu anahitaji MKUYENGE kila baada ya siku 2 au 3 halafu mume upo more than 500 kms na uchumi huu wa kuungaunga lazima mtu apakuliwe, ni long-distance marriage ni UPUMBAVU watu hamu enjoy maisha pamoja tena mkiwa vijana mnasubiriana hadi kustaafu ndo muwe pamoja hakika ni mbaya Sana.
Yupo mdada huku mmewe alikuja ghafla hakumkuta nyumbani, kwakuwa ana ufunguo akafungua akaingia ndani akalala hadi monie mtu hajarudi majirani zake wakamtonya akarudi mbio anaulizwa ulikuwa wapi kwa rafiki lakini ilibainika alikuwa kwa msela wake ni aibu tupu.