Mabaharia wenye seaman book wakiingia nchi ambayo wanalipishana Visa atatakiwa kulipa Visa, kama atakuwa anapita tu au anaingia kuona mji endapo meli yao imetia nanga kwa ajili ya kushusha mzigo au kupakia atatakiwa kulipa Transit Visa mara nyingi huwa ni dola au uero 30.
Vinginevyo akibaki ndani ya meli anaweza kuzunguka nchi zote zilizopakana na bahari bila ya kulipa, cha msingi abakie melini tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.