Tareeq
JF-Expert Member
- May 3, 2010
- 828
- 407
Unao ushahidi wa hili brother ?
Unao ushahidi wa hili brother ?
Tunaowajua mpaka hivi sasa walitambuliwa vp! Sio kwa kupimwa? Na unaposema serikali ipime watu wote una maana gani? Hivi inawezekana? Naweza kupata mfano wa nchi hasa ya ulimwengu wa kwanza iliyokwisha pima raia wote.
Ni kweli wamepungua sijakutana na watu wanokohoa njiani. Ndiyo kipimo no 1.Nakumbuka Jumapili Rais alisema maambukizi yamepungua nchini ya covid 19
Kuna maswali ya msingi ya kujiuliza.
Je, maabara baada ya kutuambiwa inatatizo isharekebishwa lini?
Je, ni lini ilianza kupima wagonjwa wapya wa covid 19?
Je, kama nzima mbona takwimu hazitolewi za wagonjwa wapya na waliopona?
Je, takwimu za Rais za wagonjwa alionao ni baada ya mashine kupona au la?
Je, mashine iliyotumika mtoto wake alipimwa kwa mashine zipi au hiyo hiyo aliyoishutumu?
Je, vituo alivyotaja rais ndivyo vilivyopo nchi nzima vya wagonjwa wa vovid19?
Je, kwanini madereva tuambiwe wanakorona ikiwa nchini maambukizi yamepunguwa?
Kwa mwaka watu 1500000 , wazazi wako walikua hawajui neno ukweli.Unao ushahidi wa hili brother ?
uwe unapitia pitia data hata Za WHO, maana za wizara ya afya huchelewi kusema zina figisuUnao ushahidi wa hili brother ?
Kuna mtu/watu unaowafahamu wamekufa kwa Corona?Ambulance zinapishana tu barabarani
muulize ngudaiKuna mtu/watu unaowafahamu wamekufa kwa Corona?
Nipe namba zakemuulize ngudai
😀😆😀Kwangu Mimi binafsi mtaani kwetu KWA ujumla sijaona MTU aliyekufa KWA korona wala taarifa ya mgonjwa WA korona. Sasa nikiacha siasa korona hakuna. Lkn kama nikilitea siasa zangu korona imetapakaa jomba kila mahali wtu wanakufaa ati.
😳😳😳korona ipo kuanzia alfajiri hadi saa7 mchana
baada ya hapo jua la mchana linaviteketeza vikovid
Sent using Jamii Forums mobile app