Je, ni kweli maambukizi ya COVID-19 yamepungua nchini au ni propaganda tu?

Tunayo kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kutuvusha salama kwenye janga hili.

Tumshukuru pia na Rais Magufuli kwa kuongoza vema Tanzania kwenye suala la ugonjwa wa korona. Kwa sasa Tanzania maidha yamerudi kama zamani kwa adilimia 99.999%.

Korona inapozungumzwa, aghalabu huwa ni kwa kutumia wakati uliopita. "Wakati ule wa korona...."

Korona sasa ni historia.
 
Bonyeza 1 ukitaka wimbo huu, mnakusanyika pa1, kuimba wimbo mmoja, Kuhusu covid-19 tulishasahau wa tz tunachapa kazi, mliandika maiti zinazagaa baraarani, zinazikwa ucku nk. Lakini mungu wtu alitusimamia na Barozi wenu mpendwa nae akapigwa chini.
Covidi-19 sasa ni historia tz. Ndio maana hata wakara mwenzenu wa mabeberu anatembeza vyuma kila mkoa kuonyesha alivyo athirika kisaikorojia , kiakiri na kiutendaji.
 
Nakumbuka Jumapili Rais alisema maambukizi yamepungua nchini ya covid 19

Kuna maswali ya msingi ya kujiuliza.

Je, maabara baada ya kutuambiwa inatatizo isharekebishwa lini?
Je, ni lini ilianza kupima wagonjwa wapya wa covid 19?
Je, kama nzima mbona takwimu hazitolewi za wagonjwa wapya na waliopona?
Je, takwimu za Rais za wagonjwa alionao ni baada ya mashine kupona au la?
Je, mashine iliyotumika mtoto wake alipimwa kwa mashine zipi au hiyo hiyo aliyoishutumu?
Je, vituo alivyotaja rais ndivyo vilivyopo nchi nzima vya wagonjwa wa vovid19?
Je, kwanini madereva tuambiwe wanakorona ikiwa nchini maambukizi yamepunguwa?
Kwani wewe ndugu zako wangapi wagonjwa mpaka sasa
 
Haya ndio yakujiuliza sanaaaaa?
Mengine umbea umbea wa mitandaoni na bando la tigo rusha la miatano
 
Jiulize wewe na watu wako wanao kuzunguka na familia zao. Kuna alie fariki muda huu kwa maambukizi ya COVID-19?.

Jiulize hapo kazini kwako alikufa ama kuumwa kwa sasa yupo?

Nenda basi hata shule ukaulize alikufa kisa COVID-19? Angalau kwa mwezi huuu.

Msikitini ama kanisani fika huko pia!

Mie naamini hii kitu imepungua makali ama haipo kabisaaa ama Watz ni wagumu kufa wana immunity kali
 
Back
Top Bottom