Je, ni kweli kwamba yule kada wa CCM anayehusishwa Kuhamia ACT ni huyu?

Asante Mh. kwa majibu yako, ila hizo sifa zinazofanya mtu asiwe muoga kwenye siasa bado hazijanishawishi. Labda nikupe tafsiri yangu ya "mwanasiasa muoga" ndio labda tutaelewana vizuri. Mwanasiasa muoga ni yule anayekaa kimnya dhidi ya maovu ya kisiasa, kiuchumi, au kijamii kwenye nchi yake kwa lengo la kulinda maslahi yake binafsi, haswa cheo. Kwa maana hiyo, niliposema wewe "muoga", nilikumbuka zaidi kisa cha Ndugu yetu Tundu Lissu kupigwa risasi wakati wewe ukiwa ni waziri mwenye dhamana ya mambo ya ndani.

Katika sakata lile, mpaka leo serikali ya chama chako imeshindwa kuhakikisha uchunguzi wa kweli unafanyika, washambuliaji wanafahamika rasmi (sio kwa ushahidi wa kimazingira tu, ambao tayari una mashiko), na haki inatendeka kwa Lissu. Pamoja na danadana hizi, ilishindwa kuwajibika kama waziri kwa kuwa mstari wa mbele kuonyesha kwamba kile kitendo hakikubaliki kwenye nchi yetu, na ingebidi hata kujiuzuru kulinda heshma yako. Lakini, hukufanya hivyo, na yaliyotokea baadae hatuna haja kurudia. Pamoja na hayo, mpaka leo, bado kuna watu wamepotea (Azory, Saanane, nk) na wengine wanaendelea kutekwa na kupigwa (Mdude), lakini wewe upo kimnya, kwanini??

Mfano mdogo wa "ujasiri wa kisiasa" ni lile suala la Nape, ambaye mbali na mapungufu yake, alijaribu kulisimamia suala la uvamizi wa "Makonda" pale Clouds, ili haki itendeke. Matokeo yake alikuja "kutumbuliwa." Wewe hukutaka kutumbuliwa kwa sakata la ndugu yako Lissu. Hivyo basi, tunapozungumzia ujasiri wa kisiasa, tafadhali kuwa makini sana na hiyo mifano yako binafsi iliyokuwezesha kufika hapo ulipofika kwani sisi wananchi tunataka kujua zaidi kuhusu ulichofanya kwenye siasa kwa maslahi mapana ya jamii ya Mtanzania, je umefanya nini?? Kutuambia tu wewe ni "self-made politician," haitoshi. Asante.


Babo nasubiri majibu kutoka kwa Mh., sijui nitafanikiwa....
 
Nenda zako mfoji vyeti wewe! Ungekuwa unasimama kwa miguu yako usingefoji vyeti.

Hata muasisi wa ccm Baba wa Taifa alianza kuinanga ccm kabla hali haijawa mbaya kama ilivyo sasa, lakini mpumbavu wewe bado unaamini chama bora ni ccm na wakati huo huo kila kitu nchini kinaanguka lakini juha wewe huyaoni maovu yote yanayozidi kushamiri nchini.

Upumbavu wako mwisho Lumumba si humu.

Shida ya WATANZANIA wengi ni Ukiamini Jambo FULANI unajipa uhalali wa kuwa sahihi. Mimi si mmoja wapo wa wanaoamini kwa UPEPO.NASIMAMA KWA MIGUU YANGU NA NASIMAMIA NINACHOAMINI. TANGU MWANZO NILIAMINI NA HATA SASA NAAMINI CHAMA BORA NI CCM
 
Wewe ni nani at least Yeye ana jina . So ana haki ya kwanza katika wanadamu wote wenye akili na timamu kumwamini.

Kwa Tanzania mabadiliko hayataletwa na chama. Nyie wanademokrasia ndo mnaongoza kwa kujudge na kuingilia uhuru wa watu. Hamna hoja. Hata hapa utanijibu mimi mbona fulani. Uhuru wangu wa hoja hautegemei kama mwingine anafanya au hafanyi. Watanzania wavivu. Watanzania wanapenda majibu ya haraka katika mambo magumu ya uchumi na hata maisha ya kawaida. Watanzania hasa watu kama wewe, maneno maneno tena ya kimamamama, hasa wakijua wako nyuma ya pazia, ndo aina yao ya maisha. Watu kama nyie hamuoni mazuri as long as wewe ubinafsi wako hauguswi. Kwa watu kama wewe, wewe kwanza, wengine, Taifa baadaye. Ndo mana huna hata nidhamu ya maneno. Hujui kama unatumia "Rosette" au mdomo. Its very Bad.

Mwisho wewe ni NOBODY as long as hujulikani. No Great THINKER atakimbilia mashambulizi kisa yuko chama tofauti. Chama ni mkusanyiko wa watu mbalimbali. Kila mtu anabaki na akili na utashi wake.
Nenda zako mfoji vyeti wewe! Ungekuwa unasimama kwa miguu yako usingefoji vyeti.

Hata muasisi wa ccm Baba wa Taifa alianza kuinanga ccm kabla hali haijawa mbaya kama ilivyo sasa, lakini mpumbavu wewe bado unaamini chama bora ni ccm na wakati huo huo kila kitu nchini kinaanguka lakini juha wewe huyaoni maovu yote yanayozidi kushamiri nchini.

Upumbavu wako mwisho Lumumba si humu.
 
Ila mkuu uliniambia huko kuna wali na ukanialika kabisa mkuu tena unafuata chama bora sio wali tena unanichanganya
 
Nikujibu wewe mpumbavu ili iweje!? 😳😳😳
Ukamongo wako huko huko kwa makamongo wenzio siyo humu. Juha mkubwa wewe! Katiba haikuandika popote pale ili kuikosoa Serikali na wahuni waliomo kwenye Serikali kama ni wahuni ni lazima UJULIKANE, lakini mpumbavu wewe unaamini hivyo. Hasara kubwa sana kwa Taifa kuwa na majuha kama wewe.

Wewe ni nani at least Yeye ana jina . So ana haki ya kwanza katika wanadamu wote wenye akili na timamu kumwamini.

Kwa Tanzania mabadiliko hayataletwa na chama. Nyie wanademokrasia ndo mnaongoza kwa kujudge na kuingilia uhuru wa watu. Hamna hoja. Hata hapa utanijibu mimi mbona fulani. Uhuru wangu wa hoja hautegemei kama mwingine anafanya au hafanyi. Watanzania wavivu. Watanzania wanapenda majibu ya haraka katika mambo magumu ya uchumi na hata maisha ya kawaida. Watanzania hasa watu kama wewe, maneno maneno tena ya kimamamama, hasa wakijua wako nyuma ya pazia, ndo aina yao ya maisha. Watu kama nyie hamuoni mazuri as long as wewe ubinafsi wako hauguswi. Kwa watu kama wewe, wewe kwanza, wengine, Taifa baadaye. Ndo mana huna hata nidhamu ya maneno. Hujui kama unatumia "Rosette" au mdomo. Its very Bad.

Mwisho wewe ni NOBODY as long as hujulikani. No Great THINKER atakimbilia mashambulizi kisa yuko chama tofauti. Chama ni mkusanyiko wa watu mbalimbali. Kila mtu anabaki na akili na utashi wake.
 
  1. Ni Mchumi na ana Mafunzo mazuri tu ya Siasa
  2. Ni Msomi lakini anayepelekeshwa sana na Watu wengine ambao amewazidi mno Kielimu
  3. Hupenda Kucheka nje lakini Moyoni huwa anaonyesha ana Maumivu makubwa
  4. Yeye na Mr. Foka Foka Hasira wa Europe wanaongea Lugha moja ya Kikabila
  5. Ana Mahaba na Timu mbili Tanzania ile ya Bakuli Mbeleko FC na Nyumbani FC
  6. Anatokea Mkoa ambao una Wanawake Warembo ila ni Maji mara Moja Kubandulika
  7. Aliaminika ndani ya Wizara ‘ Muhimu ‘ japo hata huko nyuma alitumika Chamani
  8. Anatokea Mkoa ambao Ajali hazikauki na una Milima fulani maarufu hivi
  9. Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
  10. Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
  11. Mara nyingi akiwa anaongea huwa anakuwa mwangalifu mno na maneno yake
Nawasilisha.

Hizi sifa zinamfaa mr.chemba
 
Nikujibu wewe mpumbavu ili iweje!?
Ukamongo wako huko huko kwa makamongo wenzio siyo humu. Juha mkubwa wewe! Katiba haikuandika popote pale ili kuikosoa Serikali na wahuni waliomo kwenye Serikali kama ni wahuni ni lazima UJULIKANE, lakini mpumbavu wewe unaamini hivyo. Hasara kubwa sana kwa Taifa kuwa na majuha kama wewe.
Dada uwe unaacha hasira
 
Wewe ni nani at least Yeye ana jina . So ana haki ya kwanza katika wanadamu wote wenye akili na timamu kumwamini.

Kwa Tanzania mabadiliko hayataletwa na chama. Nyie wanademokrasia ndo mnaongoza kwa kujudge na kuingilia uhuru wa watu. Hamna hoja. Hata hapa utanijibu mimi mbona fulani. Uhuru wangu wa hoja hautegemei kama mwingine anafanya au hafanyi. Watanzania wavivu. Watanzania wanapenda majibu ya haraka katika mambo magumu ya uchumi na hata maisha ya kawaida. Watanzania hasa watu kama wewe, maneno maneno tena ya kimamamama, hasa wakijua wako nyuma ya pazia, ndo aina yao ya maisha. Watu kama nyie hamuoni mazuri as long as wewe ubinafsi wako hauguswi. Kwa watu kama wewe, wewe kwanza, wengine, Taifa baadaye. Ndo mana huna hata nidhamu ya maneno. Hujui kama unatumia "Rosette" au mdomo. Its very Bad.

Mwisho wewe ni NOBODY as long as hujulikani. No Great THINKER atakimbilia mashambulizi kisa yuko chama tofauti. Chama ni mkusanyiko wa watu mbalimbali. Kila mtu anabaki na akili na utashi wake.
Dah MKUU kumbe una 🆔 mbili ndiomaana mnaonekana wengi jukwaani kumbe mko 6 tu
 
Back
Top Bottom