Mkuu, Wakudadavuwa ni mheshimiwa sasa kwani usaliti dhidi ya vyama vya upinzani unalipa kama hivyo. Yaliyopita yatabaki kuwa historia. Wako wengi kwenye serikali hii, wengine walipiga picha za utupu lakini leo hii ni wakuu wa wilaya, waliowahi kushtakiwa kustakiwa kwa kesi za rushwa ni mawaziri na wenye vyeti feki wakuu wa mikoa. Awamu hii vyeti na CV si muhimu, HAPA KAZI TU. Kilangila.Mkuu usitaje jina, labda ungesema "Yule aliyekuwa anajivinjari na Wakudadavuwa kwenye ziara zake akiwa Naibu Katibu Mkuu" watu wangeelewa sana
Sio huyo,yeye anazungumzia mkoa wa mbeya na nafikiri ni mzee hivi12. Aligonga punda wetu na hakuchukuliwa hatua kwa kukiuka haki za wanyama.
alichana bajeti ya kambi rasmi ya upinzani bungeni.Nawasilisha.
- Ni Mchumi na ana Mafunzo mazuri tu ya Siasa
- Ni Msomi lakini anayepelekeshwa sana na Watu wengine ambao amewazidi mno Kielimu
- Hupenda Kucheka nje lakini Moyoni huwa anaonyesha ana Maumivu makubwa
- Yeye na Mr. Foka Foka Hasira wa Europe wanaongea Lugha moja ya Kikabila
- Ana Mahaba na Timu mbili Tanzania ile ya Bakuli Mbeleko FC na Nyumbani FC
- Anatokea Mkoa ambao una Wanawake Warembo ila ni Maji mara Moja Kubandulika
- Aliaminika ndani ya Wizara ‘ Muhimu ‘ japo hata huko nyuma alitumika Chamani
- Anatokea Mkoa ambao Ajali hazikauki na una Milima fulani maarufu hivi
- Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
- Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
- Mara nyingi akiwa anaongea huwa anakuwa mwangalifu mno na maneno yake
Kha mtoa mada hapa umenigonga.Tafuta trafic aje kupima....kwa vile yumo humu jamvini, ngoja tumsikie yeye mwenyewe anatwambieje....
Nawasilisha.
- Ni Mchumi na ana Mafunzo mazuri tu ya Siasa
- Ni Msomi lakini anayepelekeshwa sana na Watu wengine ambao amewazidi mno Kielimu
- Hupenda Kucheka nje lakini Moyoni huwa anaonyesha ana Maumivu makubwa
- Yeye na Mr. Foka Foka Hasira wa Europe wanaongea Lugha moja ya Kikabila
- Ana Mahaba na Timu mbili Tanzania ile ya Bakuli Mbeleko FC na Nyumbani FC
- Anatokea Mkoa ambao una Wanawake Warembo ila ni Maji mara Moja Kubandulika
- Aliaminika ndani ya Wizara ‘ Muhimu ‘ japo hata huko nyuma alitumika Chamani
- Anatokea Mkoa ambao Ajali hazikauki na una Milima fulani maarufu hivi
- Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
- Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
- Mara nyingi akiwa anaongea huwa anakuwa mwangalifu mno na maneno yake
Nawasilisha.
- Ni Mchumi na ana Mafunzo mazuri tu ya Siasa
- Ni Msomi lakini anayepelekeshwa sana na Watu wengine ambao amewazidi mno Kielimu
- Hupenda Kucheka nje lakini Moyoni huwa anaonyesha ana Maumivu makubwa
- Yeye na Mr. Foka Foka Hasira wa Europe wanaongea Lugha moja ya Kikabila
- Ana Mahaba na Timu mbili Tanzania ile ya Bakuli Mbeleko FC na Nyumbani FC
- Anatokea Mkoa ambao una Wanawake Warembo ila ni Maji mara Moja Kubandulika
- Aliaminika ndani ya Wizara ‘ Muhimu ‘ japo hata huko nyuma alitumika Chamani
- Anatokea Mkoa ambao Ajali hazikauki na una Milima fulani maarufu hivi
- Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
- Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
- Mara nyingi akiwa anaongea huwa anakuwa mwangalifu mno na maneno yake
Akihamia huko hataweza hata kufurukuta kwenye siasa, kimsingi huyo bitozi nyangema anabebwa na mfumo wa chama alicho tuNawasilisha.
- Ni Mchumi na ana Mafunzo mazuri tu ya Siasa
- Ni Msomi lakini anayepelekeshwa sana na Watu wengine ambao amewazidi mno Kielimu
- Hupenda Kucheka nje lakini Moyoni huwa anaonyesha ana Maumivu makubwa
- Yeye na Mr. Foka Foka Hasira wa Europe wanaongea Lugha moja ya Kikabila
- Ana Mahaba na Timu mbili Tanzania ile ya Bakuli Mbeleko FC na Nyumbani FC
- Anatokea Mkoa ambao una Wanawake Warembo ila ni Maji mara Moja Kubandulika
- Aliaminika ndani ya Wizara ‘ Muhimu ‘ japo hata huko nyuma alitumika Chamani
- Anatokea Mkoa ambao Ajali hazikauki na una Milima fulani maarufu hivi
- Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
- Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
- Mara nyingi akiwa anaongea huwa anakuwa mwangalifu mno na maneno yake
9. Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
10. Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
Nawasilisha.
- Ni Mchumi na ana Mafunzo mazuri tu ya Siasa
- Ni Msomi lakini anayepelekeshwa sana na Watu wengine ambao amewazidi mno Kielimu
- Hupenda Kucheka nje lakini Moyoni huwa anaonyesha ana Maumivu makubwa
- Yeye na Mr. Foka Foka Hasira wa Europe wanaongea Lugha moja ya Kikabila
- Ana Mahaba na Timu mbili Tanzania ile ya Bakuli Mbeleko FC na Nyumbani FC
- Anatokea Mkoa ambao una Wanawake Warembo ila ni Maji mara Moja Kubandulika
- Aliaminika ndani ya Wizara ‘ Muhimu ‘ japo hata huko nyuma alitumika Chamani
- Anatokea Mkoa ambao Ajali hazikauki na una Milima fulani maarufu hivi
- Akiwa Nyumbani Kwake mara nyingi huwa ni ' Bembeleza Wana ' kwa sana tu
- Ukimwona Yeye tu unaiona Tanzania kwa ujumla pamoja na rangi zake
- Mara nyingi akiwa anaongea huwa anakuwa mwangalifu mno na maneno yake
kwa vile yumo humu jamvini, ngoja tumsikie yeye mwenyewe anatwambieje....
Mzee, baba kwa hiyo huko kuna wali tuje kula ?