Je, ni kweli kwamba Watanzania hawana uelewa wa kutumia utajiri?

ras mkweli

JF-Expert Member
Mar 12, 2012
280
104
Tanzania inaaminika kuwa nchi yenye mali nyingi sana kama vile madiniya thamani, vivutio mbalimbali, ardhi nzuri ya kilimo, maziwa makubwa matatu yaliyoizunguka kiasi kwamba wananchi wake hawakupaswa kuwa maskini na ukarimu mwingi sana. Lakini cha ajabu Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kuwa maskini na wananchi wenye maisha magumu sana.

Je, ni kweli kwamba Watanzania hawana uelewa wa kutumia utajiri walionao nchini kwao? au unahisi sababu ni nini?


 
Tanzania inaaminika kuwa nchi yenye mali nyingi sana kama vile madiniya thamani, vivutio mbalimbali, ardhi nzuri ya kilimo, maziwa makubwa matatu yaliyoizunguka kiasi kwamba wananchi wake hawakupaswa kuwa maskini na ukarimu mwingi sana. Lakini cha ajabu Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kuwa maskini na wananchi wenye maisha magumu sana.

Je, ni kweli kwamba Watanzania hawana uelewa wa kutumia utajiri walionao nchini kwao? au unahisi sababu ni nini?




Sababu kubwa ni ujinga uliokithiri baina ya wananchi na kuwa na watawala badala ya viongozi

sababu nyingine kubwa ni watu kutojitambua na kujielewa nafasi ao kwenye jamii na kufuata mikumbo
 
Back
Top Bottom