Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 745
- 427
Poleni na hangover za wkend huku mkisubiri hangover 2 next week inatoka. Tukiachana na hayo, ni kwamba nilikuwa na girlfriend ambae mimi ndio nilikuwa mtu wa kwanza kumake nae love na tukaachana kama miaka 3 iliyopita, Jana nimeonana nae na jioni akanitext anaomba kurudia game tena na mimi nimevutika nione amekuwaje now. Je hii inadhihirisha kuwa waliooneshana ukubwa hawaachani au ni nyeg* zetu tu ndo zinatusumbua?.