N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,532
Kuna hoja kwamba papai lina nguvu sana
Papai huweza kulainisha nyama ili iive kwa haraka na ina uwezo mkubwa kulainisha nyama mbichi kuliko hata tangawizi.
Sasa wanaotoa hoja wanasema ikiwa papai linalainisha nyama kabla ya kuoka kwenye matumbo si itakuwa zaidi.
Wanadai kwamba papai hulegeza misuli ya uume kutokana na ile nguvu ya kuflash matumbo hasa kwa wenye matatizo ya kukwama kwa choo.
Ukila papai haizidi dakika 30 utaenda toileti kujisaidia haja kubwa
Sasa MDs na wajuvi wengine, ni kweli papai lina athari hizi zinazohisiwa?
Papai huweza kulainisha nyama ili iive kwa haraka na ina uwezo mkubwa kulainisha nyama mbichi kuliko hata tangawizi.
Sasa wanaotoa hoja wanasema ikiwa papai linalainisha nyama kabla ya kuoka kwenye matumbo si itakuwa zaidi.
Wanadai kwamba papai hulegeza misuli ya uume kutokana na ile nguvu ya kuflash matumbo hasa kwa wenye matatizo ya kukwama kwa choo.
Ukila papai haizidi dakika 30 utaenda toileti kujisaidia haja kubwa
Sasa MDs na wajuvi wengine, ni kweli papai lina athari hizi zinazohisiwa?