MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kuna Matunda ambayo tokea nakua hadi hivi sasa nautafuta Uzee wangu yalikuwa yakidharaulika na hayapendwi kabisa Kuliwa na Watanzania ila cha Kushangaza Siku hizi baadhi ya Wajasiriamali ( Wafanyabiashara ) wakiyaandaa vyema, kuyaweka Sokoni na kusema ( kutangaza ) yanatibu au kuongeza Nguvu za Kiume basi yatauzika kwa haraka na hadi Mashambani yatagombewa.
Je, Ndugu zanguni inamaanisha kuwa hii ni Tafsiri iliyo wazi kuwa huenda Wanaume wengi wa Kitanzania ni Mbeguless Vitandani au ni Uongo tu?
Je, Ndugu zanguni inamaanisha kuwa hii ni Tafsiri iliyo wazi kuwa huenda Wanaume wengi wa Kitanzania ni Mbeguless Vitandani au ni Uongo tu?