Aisee may it is possible. Mimi ktk maisha yangu hadi hivi karibuni 35+ nilikuwa sijawahi kuona mmea wa bangi. Sasa nikaajiri kijana mmoja ambaye ameoa binti toka Rufiji. Wanakaa kwenye servant Quarter basi siku moja nikaita mafundi wakarabati hiyo nyumba wanayokaa. Nikiwa nawaelekeza mara mmoja wao akasema mmea mmojawapo pale ni BANGI. Mimi nikabisha sana wao kwa pamoja wanne wakadai ni bangi na wakanielekeza kuwa jina jingine la bangi ni majani saba. Wakanitaka nihesabu majani ya ule mmea. Kweli yalikuwa saba, akapita mzee mmoja nikamuuliza naye akadai ni bangi. Kijana kuulizwa akaruka hata yeye hajui (huyu twatoka mkoa mmoja - kanda ya ziwa) Binti naye karuka lakini ktk upelelezi wangu nikaelezwa kuwa binti alidai ni dawa ya kuzuia wachawi kwani ana mtoto mdogo anaogopa....
Hivyo inawezekana na kama confirmed basi nijuze nikapande maana ile ilingolewa na kuzikwa shimoni
Dawa ya uchawi ni Yesu pekee!!
du kweli io kali
twende tmk wakakupe twishen ya matumiz ya kuvuta au kujikinga2 na bang pasipo kuivuta
panga siku ntakupeleka
Nami nilikulia TMK wewe nijuze ni pande ipi nitaenda mwenyewe
kwa mwalimu wa bang auelekekzwi UNAPELEKWA.
autak bas.
kwanza nimeghairi b nend amwenyewe ukaulizie...
du kweli io kali
twende tmk wakakupe twishen ya matumiz ya kuvuta au kujikinga2 na bang pasipo kuivuta
panga siku ntakupeleka
Kwa kuongezea Yesu Kristo ni dawa na kinga ya kudumu! Haya sijui bangi, mfupa wa nguruwe ni bure; kwanza bangi mwisho wake jela - sasa hilo si la shetani.
Labda manabii wa marastafari.lakini manabii wa vitabu hakuna ushahidi labda mvinyo.Hivi Mitume na Manabii walivuta bangi?
sio kweli unapovuta bangi usiku ukalala unakua hujielewi kupita kiasi hvyo mchawi akiingia atakuchezea anavotaka na kuondokajamani wanajf wenzangu naombeni mwenye ufahamu na hata uzoefu na hili anifahamishe.HIVI NI KWELI BANGI INAWEZA KUMZUIA MCHAWI ASIINGIE NDANI KWAKO KUKUWANGIA?
wachawi wa siku hz kavu sana..wanakupelekea moto wa hatari,asubuhi ukienda kukata gogo unakuta linaambatana na kitu kama kamasi,ukisikia mkuu wa mkoa kakamata mashoga peacock hotel..unafurahia eti afadhali wanatuharibia nchi,kumbe we mwenyewe mwanachama wa lazimasio kweli unapovuta bangi usiku ukalala unakua hujielewi kupita kiasi hvyo mchawi akiingia atakuchezea anavotaka na kuondoka