Je, ni kweli kuwa walioathirika na virusi vya Corona kuchomwa sindano ya sumu?

Nimesoma pia mahali....
Ila sidhani km kuna ukweli......
Hata km wangetaka kufanya hivyooo..
Wasingetangaza.....Wangewa mute kimya kimyaaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Wameiomba mahakama itoe Amri ya kuwauwa lakini inaonekana mpaka kuomba imeisha leak kuwa wanawauwa kimya kimya mpaka sasa
Mabalozi wengine wa China wanadiriki na kusema propaganda zimezidi lakini kiuhalisia watu wanakufa haswa



Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Niliangalia series moja ya 24 watu waliambukizwa ugonjwa uliokua unasambaa kwa hewa, walizuiliwa na hawakutakiwa kutoka kwenye hiyo hoteli kupunguza kasi ya kusambaa.

Huu ni mtihani mzito sana kwa China.
 
Ila wachina watu watu wa ajabu sana....
Wao kila kitu kinachotembea wanakula, Tena kibichi,

kuanzia....
Mijusi, konokono, nyoka, mende, mbwa, vyura, Panya, popo, minyoo, jongoo n.k n.k

Hakuna cha US wala allah hapa...
Wanajiua wenyewe...

kule kwao kuna siku maalum kbsa ya kula hayo madubwasha hapo juu ya kiwa mabichi.
Sasa hemb fikiria!

I wonder if the lack food in their country how far 'll they go..

Corona virus will Not last soon, bcz anything Made in China Doesn't last.

Wameshaanza kukatazana kula mataptap yao...
But time is not on their side again....

Wicked Set of people...

Tuombe Mungu....
Siku itatua K.koo......
Ndani ya mwezi tuu hata wa kukuzika atakosekana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila wachina watu watu wa ajabu sana....
Wao kila kitu kinachotembea wanakula...
Tena kibichi...

Mijusi, konokono, nyoka, mende, mbwa, vyura, Panya, popo, minyoo, jongoo n.k n.k

Hakuna cha US wala allah hapa...
Wanajiua wenyewe...
kule kwao kuna siku maalum kbsa ya kula hayo madubwasha hapo juu ya kiwa mabichi..
hemb fikiria...

I wonder if the lack food in their country how far 'll they go..

Corona virus will Not last soon, bcz anything Made in China Doesn't last.

Wameshaanza kukatazana kula mataptap yao...
But time is not on their side again....

Wicked Set of people...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mda sio mrefu wangeanza kula na watu wafupi maana sio kwa aptite iyo hao jamaa wanatisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salaaam wakuu
Kuna tetes kwamba china imepeleka ombi mahakaman kuomba wapewe ruhusu ya kuwachoma sindano ya sumu wote walio athirika na virus vya corona coz wameshindwa kuvizuia kusambaa na iyo ndio njia wamepata.

Source;ndugu na jamaa wanaoishi china.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hadi leo walikuwa 30,000 unafikiri hiki ni kitu rahisi??
 
Namuhurumia sana tu yule mtoto aliyezaliwa na kukutana na pigo. Inauma sana
 
Ila wachina watu watu wa ajabu sana....
Wao kila kitu kinachotembea wanakula, Tena kibichi,

kuanzia....
Mijusi, konokono, nyoka, mende, mbwa, vyura, Panya, popo, minyoo, jongoo n.k n.k

Hakuna cha US wala allah hapa...
Wanajiua wenyewe...

kule kwao kuna siku maalum kbsa ya kula hayo madubwasha hapo juu ya kiwa mabichi.
Sasa hemb fikiria!

I wonder if the lack food in their country how far 'll they go..

Corona virus will Not last soon, bcz anything Made in China Doesn't last.

Wameshaanza kukatazana kula mataptap yao...
But time is not on their side again....

Wicked Set of people...

Tuombe Mungu....
Siku itatua K.koo......
Ndani ya mwezi tuu hata wa kukuzika atakosekana...

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo ni kuwa wengi mno na wanakula kama mchwa
75% ya ardhi yao wanaitumia kwa kilimo na sio kwa ajili yao tu bali chakula cha wanyama wanaowafuga ili wawe mboga
China wamenunua ardhi kubwa sana Australia yaani ardhi waliyonunua huwezi amini na mpaka sasa wanamiliki mpaka Airport huko Australia
USA pekee wanawauzia chakula cha thamani ya $9 billion kwa mwaka China
Na lengo lao kubwa sio kununua ardhi Africa tu bali kudhulumu kwa mikataba yao
Yaani wanakupa madeni usipolipa kwa mda muafaka tunachukua ardhi na hiyo ardhi wataitumia kwa kilimo ili kuwalisha watu wao kabla hawajaanza kujila wenyewe

Hawa wachina wanawaza miaka ijayo watakula nini?
Na njia moja ni kununua ardhi au kuchukua kwa ajili ya kilimo
Australia hii hapa na ardhi aliyonunua Mchina
Adjustments.jpg




Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom