JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
Ningependwa kufahamishwa na wana jf wenzangu kama ni kweli kwamba wabunge wote wa Tanzania ni wanasiasa? Mfano, mbunge wa Rorya Lameck Airo hajawahi kufungua kinywa bungeni kuuliza swali hata kuchangia hoja tofauti na siku ya kuapishwa tangu alipoingia 2010 na hata kwenye kampeni alikuwa anapanda jukwaani na kusema "darasa la saba oyee, naombeni kura zenu"!
Je, ni kweli kuwa wabunge wote wa Tanzania ni wanasiasa?
Je, ni kweli kuwa wabunge wote wa Tanzania ni wanasiasa?