Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Ngd. wana JF, nimekuwa nikisikia kuwa malipo ya LUKU yanabadirika badirika kila mara. Nimefanya ufatiliaji na kugundua ni kweli. Kuna siku unaweza kupewa units nyingi na wakati mwingine ukapewa pungufu tu.
Nilipoulizia Tanesco kwa njia ya simu nikaambiwa inatakiwa ndani ya mwezi ununue mara moja kwa maana kwamba ukinunua mwisho wa mwezi inaongezeka! Sikujua kigezo kinachotumika.
Mnisaidie kuhusu hili suala. KUNA wizi jamani???
Nilipoulizia Tanesco kwa njia ya simu nikaambiwa inatakiwa ndani ya mwezi ununue mara moja kwa maana kwamba ukinunua mwisho wa mwezi inaongezeka! Sikujua kigezo kinachotumika.
Mnisaidie kuhusu hili suala. KUNA wizi jamani???