The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,137
Wale jamaa wa kwenye Mwalo wa Mwanza wametokomea 😂😂
Dodoma 👇
Dodoma 👇
Promo zinaendelea.Hizi promo za uongo unamdanganya nani asiepajua Dodoma? Ua kuna Dodoma nyingine? Dodoma hawana lolote kuweza kuizidi Mwanza ambayo inajiendesha kwa juhudi za wakazi wenyewe. Serikali leo ikirudi Dar, Dodoma tupa kule!
Mwanza Fikeni kwanza hapa 👇Mwanza ....majengo tu yanaashiria wapi palipewa heshima zaidiView attachment 2262174View attachment 2262175View attachment 2262176
Tuondolee jangwa hapaMwanza Fikeni kwanza hapa
Fikeni hapa kwanza ndio mje kushindana na Dodoma 👇Tuondolee jangwa hapa
Ni baadhi ya majengo mafupi yenye mwonekano wa kipekee ,,
View attachment 2266848View attachment 2266849View attachment 2266851View attachment 2266852View attachment 2266853View attachment 2266856
Fikeni hapa kwanza ndio mje kushindana na Dodoma 👇
Hana pengine pa kupost zaid ya hapo medeli majengo ya serikali yote..acha utoto wa kurudia mapicha.
Kila siku huwa anarudia majengo hayo hayo na render hizo hizo, mji kila jengo ni jengo la.serikali huseme hapo kuna maendeleo kweli au fursa za kibiashara ni bora uende singida kuliko hapo jangwani.Hana pengine pa kupost zaid ya hapo medeli majengo ya serikali yote..
Kutoka Mjini hadi Mtumba ni km ngapi?👇Mwambie akupostie km 10 toka mjini Kama hujakutana nA vichaka vya jangwa
Hapa ni ilemela pasiansi km 10View attachment 2267248
Hiyo ring road ina impact gani kwa wananchi zaidi ya kupitisha magari ya wabunge na mawaziri pamoja na makatibu ata magari 100 kwa siku hayatapita hapo, hizi ndizo white elephant project, majiji makubwa kama Mwanza barabara zimekuwa hazipitiki na jam kubwa lakini barabara za hivi wanapeleka maporini hii nchi ni ya kifala sana.Kutoka Mjini hadi Mtumba ni km ngapi?👇
Mshikaji sikuhizi hana content arukia mikoa na mikoa ila bado kote anazidiwaHiyo ring road ina impact gani kwa wananchi zaidi ya kupitisha magari ya wabunge na mawaziri pamoja na makatibu ata magari 100 kwa siku hayatapita hapo, hizi ndizo white elephant project, majiji makubwa kama Mwanza barabara zimekuwa hazipitiki na jam kubwa lakini barabara za hivi wanapeleka maporini hii nchi ni ya kifala sana.
Kwanza hakuna Ring Road hapo,Dodoma yenyewe hata huijui kumbeHiyo ring road ina impact gani kwa wananchi zaidi ya kupitisha magari ya wabunge na mawaziri pamoja na makatibu ata magari 100 kwa siku hayatapita hapo, hizi ndizo white elephant project, majiji makubwa kama Mwanza barabara zimekuwa hazipitiki na jam kubwa lakini barabara za hivi wanapeleka maporini hii nchi ni ya kifala sana.
Kwani haipo kwenye budget ya serikali, Ya kufuja mabilioni ya pesa kwenye mradi huo?Kwanza hakuna Ring Road hapo,Dodoma yenyewe hata huijui kumbe