Je ni kweli kuwa anayejua Baba wa Mtoto ni Mama?

mmaroroi

JF-Expert Member
May 8, 2008
2,960
544
Kuna usemi kuwa nayejua Baba wa Mtoto ni Mama.Hii inatokana na tabia ya wanawake wengi kuwabambikia Waume zao au wenzi wao mimba wakati wamepatiwa na wengine.Inatokea pale Msichana anapotaka kuolewa na Mtu mwenye fedha au Mwanaume aliyempenda lakini kwa bahati mbaya akapatiwa mimba na mwingine.Wakinamama wa JF ni kweli? na kwa Wanaume wa JF ni kweli tunabambikwa?
 
" up to one in 25 dads could unknowingly be raising another man's child, uk health researchers estimate." Lakini sio lazima Mama awe anajua, labda mlikua mnashare kwa wakati mmoja!!
 
Ukiuliza wakina mama JF kama ni kweli au si kweli sidhani hutapata uhakika wa hicho unachotaka kuthibitisha.Hata hivyo, ninapenda kuchangia kama ifuatavyo
1. Ni kweli kuwa mama ndiye ajuaye baba wa mtoto wake maana yeye ndiye anayebeba kiumbe hicho tumboni mwake hadi kukizaa.Anajua ni nani alishiriki naye kitendo hadi akapata ujauzito.
2. Ukichukulia ki ujumla kuwa kila mwanamke anabeba mimba nje na kuja kumbambikia mumewe basi unakosea sana maana si kila mwanamke anafanya michezo hiyo!
3.Mwanaume anayebambikiwa mimba na mwanamke ili amuoe kwa miaka ya sasa hivi basi nasema ni uzembe maana licha ya mimba kuna ukimwi.
4. Mwanaume anayejirusha na mke wa mtu hadi kumpa mimba basi wote - wana kasoro maana hawana uhakika na maisha yao.
5.Isitoshe wewe mwanaume unapaswa uwe mwangalifu zaidi maana huna control na kupatikana kwa ujauzito kwa mwanamke.Akikuambia mimba ni yako na ilhali unajua ulishiriki utakwepa vipi na hukujali wakati unashiriki kitendo?
 
Kuna dada jirani yangu ameolewa harusi ya nguvu na kuzaa mtoto wa kiume!

Sasa yule mtoto ana 3 years- ila ukimwona mtoto yaani anafanana na baba mmoja tajiri wa hapo jirani!!!

Sasa baba analeo mtoto sii wake lakini ndo hivyo..nani amwambie??

Social dadies vs biological dadies!

Taabu ingine ni kuwa unakuta mme hana uwezo wa kumpa mimba mke wake!
 
Kuna akina mama wengine lakini iwa wanashindwa kutambua huyu mtoto baba yake ni yupi. Maana anapiga remix anatembea na kiserengeti boyz kuna muuza nyama kuna muuza genge kuna dereva taxi kuna pedeshee mwenye duka mama huyo huyo mmoja na kuna mmewe sasa mtoto akizaliwa hapo sijui kama mama anaweza tambua.
Wapo wanawake wanao fanya remix ya aina hii.
 
Kuna akina mama wengine lakini iwa wanashindwa kutambua huyu mtoto baba yake ni yupi. Maana anapiga remix anatembea na kiserengeti boyz kuna muuza nyama kuna muuza genge kuna dereva taxi kuna pedeshee mwenye duka mama huyo huyo mmoja na kuna mmewe sasa mtoto akizaliwa hapo sijui kama mama anaweza tambua.
Wapo wanawake wanao fanya remix ya aina hii.

...na kweli!

iwapo mwanamama ali cheat halafu siku hiyo hiyo aliyo conceive mumewe naye alidai haki yake, mwanamama anabakia kwenye kitendawili...
 
Kuna dada jirani yangu ameolewa harusi ya nguvu na kuzaa mtoto wa kiume!

Sasa yule mtoto ana 3 years- ila ukimwona mtoto yaani anafanana na baba mmoja tajiri wa hapo jirani!!!

Sasa baba analeo mtoto sii wake lakini ndo hivyo..nani amwambie??

Social dadies vs biological dadies!

Taabu ingine ni kuwa unakuta mme hana uwezo wa kumpa mimba mke wake![/QUOTE]

Yani hapa umelenga kama mimi ninavyotaka kufanya sasa, maana ni mwaka sasa na nusu toka niona naye, sijaenda hospitali kupima, yeye anawatoto. Sio eti natatizo...la, nilishawahi ku concive twice like 4 years ago. Ila nina feelings kama haitaji kuzaa na mimi na mimi sitaki kuzaa naye, na licha ya hiyo hao wake mwenyewe hawahudumii...sasa sembuse wangu itakuaje sasa. Yani maisha haya yani nyie acheni tuu watu wamechanganyikiwa kabisa.
 
Kuna dada jirani yangu ameolewa harusi ya nguvu na kuzaa mtoto wa kiume!

Sasa yule mtoto ana 3 years- ila ukimwona mtoto yaani anafanana na baba mmoja tajiri wa hapo jirani!!!

Sasa baba analeo mtoto sii wake lakini ndo hivyo..nani amwambie??

Social dadies vs biological dadies!

Taabu ingine ni kuwa unakuta mme hana uwezo wa kumpa mimba mke wake!

Yani hapa umelenga kama mimi ninavyotaka kufanya sasa, maana ni mwaka sasa na nusu toka niona naye, sijaenda hospitali kupima, yeye anawatoto. Sio eti natatizo...la, nilishawahi ku concive twice like 4 years ago. Ila nina feelings kama haitaji kuzaa na mimi na mimi sitaki kuzaa naye, na licha ya hiyo hao wake mwenyewe hawahudumii...sasa sembuse wangu itakuaje sasa. Yani maisha haya yani nyie acheni tuu watu wamechanganyikiwa kabisa.

4x4, post yako ina mengi kuliko uliyoandika! Nadhani ni bora kutafuta msaada (ushauri) mapema ndugu.
 
Yani hapa umelenga kama mimi ninavyotaka kufanya sasa, maana ni mwaka sasa na nusu toka niona naye, sijaenda hospitali kupima, yeye ana watoto. Sio eti natatizo...la,

...mnh, :) watoto wenyewe wake au ndio naye kasaidiwa?

nilishawahi ku concive twice like 4 years ago. Ila nina feelings kama haitaji kuzaa na mimi na mimi sitaki kuzaa naye, na licha ya hiyo hao wake mwenyewe hawahudumii...sasa sembuse wangu itakuaje sasa. Yani maisha haya yani nyie acheni tuu watu wamechanganyikiwa kabisa.

...pole, uli conceive zikaharibika? kama ndivyo, kaonane na obstetricians, (kumradhi; kwa faida ya wengi) huenda tindikali toka kwenye mrija mmojawapo inachurizikia kwenye nyumba ya uzazi wakati ume conceive.

usikate tamaa ya malezi, watoto ni nuru ya nyumba yenu.
 
Tatizo ni nini hadi mtu anaamua kutoka nje ya ndoa? maana mie huwa nashangaa sana kama mtu ulimpenda mkeo au mumeo na kuolewa kwa hiyari yako au kuoa kwa hiyari.Ya nini tena kwenda nje ya ndoa?
 
Tatizo ni nini hadi mtu anaamua kutoka nje ya ndoa? maana mie huwa nashangaa sana kama mtu ulimpenda mkeo au mumeo na kuolewa kwa hiyari yako au kuoa kwa hiyari.Ya nini tena kwenda nje ya ndoa?
it's fun ku-experience new styles, warmth etc ... utajua ukikua!
 
pretty, ni mambo mengi yanachangia hili ndugu yangu, kama hayajakutokea nyamaza, nimehandle kesi 2 tofauti nilishindwa kuzitolea uamuzi kweli akina mama wana kazi na siku zote wapo kwenye majaribu!!
pana dada alitembea na dereva wa ofisi, wala haikupita muda mabo yakajulikana, maana dereva alikuwa brother man, na mdada ni boss kwahiyo ikabidi ajifaraghue ili watu wajue!! issue ilikuwa hivi yule dada alipata kazi katika ofisi moja kubwaa ambayo maboss wa pale kwa ufisadi wa ngono hawajambo, dada analipa fresh from UD, ile kukabidhiwa tu majukumu wazee wakaanza kumfuatilia kila mmoja kwa wakati wake, yy akatafuta gear ya kuzuga hivyo akafanya deal na dereva kuwa wazuge ili wazee waache kumsumbua, deal likawa deal kijana akatake-advantage akafanya kweli, na binti naye akanogewa maana mzee home mambo fulani busy na shughuli haiwezi, sasa nguo mkononi binti anamuona husband wake kama uchafu, maana jamaa mambo hayo hayupo kabisa hata ku-hug yeye anaona taabu wakati brother man haulizwi, ofcourse bint kaacha kazi katafuta ofisi nyingine na anadai kijana kaachana nae lakini hakuna tena penzi kwa mumewe anataka watengane!! mume naye anasema NO ww ni wangu, kwahiyo hapo ndani kama paka na chui....
 
Tatizo ni nini hadi mtu anaamua kutoka nje ya ndoa? maana mie huwa nashangaa sana kama mtu ulimpenda mkeo au mumeo na kuolewa kwa hiyari yako au kuoa kwa hiyari.Ya nini tena kwenda nje ya ndoa?

maneno yako hayo. mnasemaga hivyo hivyo!
 
tukirudi kwenye mada,
ni kweli kwa asilimia kubwa zaidi ya 80 kwamba mwanamke ndio anayejua mtoto ni wa nani especially kama alikuwa anatembea na watu ambao alikuwa anaweza kujicontrol nao
kuna baadhi ya makabila nchini Ghana na hata Southernpart of Africa (RSA, Bwna, Ltht, Swaz) wao wanachukulia ukoo kutoka kwa mama, kwa maana kwamba mama alipokuwa mjamzito kila m2 alimwona kwa hiyo hicho kitachozaliwa kitakuwa halisi kutoka kwa mama, na hii inatokana kwamba katika hizo jamii wanawake wengi walikuwa awaolewi na pia walikuwa na wanaume zaidi ya mmoja
 
Si lazima sana kwani kuna wakati hata mama hajui baba ya mtoto. In case of rape na wabakaji wengi, kuliwa mara zaidi ya tano kwa siku moja na watu zaidi ya watano etc na matukio ya aina hiyo list goes on.
 
Tatizo ni nini hadi mtu anaamua kutoka nje ya ndoa? maana mie huwa nashangaa sana kama mtu ulimpenda mkeo au mumeo na kuolewa kwa hiyari yako au kuoa kwa hiyari.Ya nini tena kwenda nje ya ndoa?

Kwani wewe mwenzetu unakulaga nyama ya ng'ombe kila siku? Ina maana hakuna siku ujisikiayo kula kuku ama samaki? Je siku ukijisikia una hamu ya kula kuku ama samaki ina maana nyama ya ng'ombe ina tatizo?
 
Kwani wewe mwenzetu unakulaga nyama ya ng'ombe kila siku? Ina maana hakuna siku ujisikiayo kula kuku ama samaki? Je siku ukijisikia una hamu ya kula kuku ama samaki ina maana nyama ya ng'ombe ina tatizo?
mbona kitu ni kile kile, kama mwanaume ni yule yule au mwanamke ni yule yule, mie naona itakuwa bora kama utamfundisha mwenzio nn unataka ili akupatie kuliko kutoka nje. maana sehemu zote za siri zinafanana kwa wanaume na wanawake.
 
mbona kitu ni kile kile, kama mwanaume ni yule yule au mwanamke ni yule yule, mie naona itakuwa bora kama utamfundisha mwenzio nn unataka ili akupatie kuliko kutoka nje. maana sehemu zote za siri zinafanana kwa wanaume na wanawake.

Sidhani kama hiyo ni sahihi! Kuna tofauti kubwa tu ya kimaumbile baina ya watu.

Kinachofanya mtu atulie na mwenzi wake si kwamba hakuna tofauti ya sehemu za siri bali ni mkataba kati yao, nia ya kuridhika, pamoja na mapenzi ambayo yapo sustainable.

Wanandoa wanatakiwa wajifunze kuridhika na wenza wao. Pia wawe dynamic ili kuweza kwenda sambamba na mabadiliko ya taste ya kila mmoja wao. Mwanamke ni lazima ajue dynamics za mwanaume na vivyo hivyo kwa mwanaume kumjua mwanamke.
 
Last edited:
PIA KUNA WAKATI HATA MAMA HAJUI BABA WA MTOTO!hasa anaposhindwa kuuheshimu mwili wake,anatembea na wastani wa wanaume watatu kwa siku tena NGONO ZEMBE!swala hili linapotokea mwanamke akiwa kwenye joto.

haya mambo magumu sana,

I THINK DNA TEST AS THE BEST
 
mbona kitu ni kile kile, kama mwanaume ni yule yule au mwanamke ni yule yule, mie naona itakuwa bora kama utamfundisha mwenzio nn unataka ili akupatie kuliko kutoka nje. maana sehemu zote za siri zinafanana kwa wanaume na wanawake.

...kwa maana hii Pretty unazungumzia "nyama hiyo hiyo mapishi mbali mbali";

juzi uliipika mchuzi na kuilia 'mkekani',

leo unaichemsha huku wailia 'mezani',

kesho unaikaanga ili uile 'wima',

keshokutwa utaibanika uile 'umechutama',...

...almuradi siku hazigandi :)
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom