Umomi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 677
- 983
Hanari Wanajamvi la JamiiForums,
Katika maisha kuna changamoto nyingi sana. Kawaida kila mtu huwa anazitatua changamoto kwa namna yake. Kuna baadhi ya watu wanasema "ulichonacho ndiyo msaada wako" huu ni msemo nimekuwa nikiusikia toka nipo utotoni.
Pia katika maisha huwa wengi wetu tunaanza kumiliki vyombo vya ndani kwanza Kama kitanda godoro, tv n.k lakini shida nazo huwa hazishi kabsa.
Sasa eti nasikia kuuza vyombo vya ndani, mifugo au hata kiwanja kutatua shida yako ni laana?
Naomba kuwasilisha
Katika maisha kuna changamoto nyingi sana. Kawaida kila mtu huwa anazitatua changamoto kwa namna yake. Kuna baadhi ya watu wanasema "ulichonacho ndiyo msaada wako" huu ni msemo nimekuwa nikiusikia toka nipo utotoni.
Pia katika maisha huwa wengi wetu tunaanza kumiliki vyombo vya ndani kwanza Kama kitanda godoro, tv n.k lakini shida nazo huwa hazishi kabsa.
Sasa eti nasikia kuuza vyombo vya ndani, mifugo au hata kiwanja kutatua shida yako ni laana?
Naomba kuwasilisha