Tuangaze macho yetu kwenye ibara ya 83 (1) a&b ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo imeweka wazi shauri linalo weza funguliwa Mahakama Kuu juu ya uamuzi wa kama mtu ni mbunge au la?Katiba imegawanya mashauri katika aina mbili ambazo ni kama ifuatavyo
1. Moja juu ya hoja kama uteuzi wa mtu kuwa mbunge ulikuwa halali au si halali 83(1)(a)
2. Kuhoji kama kiti cha mbunge ki wazi au la (83) (1)(b).
Sasa niende kwenye scenario na maoni yangu juu ya uamuzi wa jaji kuyakataa maombi kwa sababu alizo toa hususani kuamua kuwa kuyakubali maombi ya lissu ni kuleta mgogoro wa kikatiba.
SPIKA NDUGAI alitangaza kuwa kiti cha Mbunge(Tundu Lissu) kiwazi, na tume hapo hapo ikatisha uchuguzi ambao kimsingi chadema hawakushiriki na hivyo in my opinion hawangeweza kuwa na uhalali wa kupinga uchaguzi ambao uliitishwa na tume na wao kutoshiriki(locus standi).
Lakini hoja kuu hapa ni je ni kweli kiti cha Mbunge lissu kilikuwa wazi kama alivyosema spika,Je spika ana discrestion power ya kutangaza tu kiti cha mbunge ki waz au kuna utaratibu wa kisheria hadi kufikia huo uamuzi.
Ikiwa ni hoja ilikuwa ni katiba kama alivyosema NDUGAI JAJI alipaswa kujikitia kwenye Ibara 83(1)(b) ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Jaji pia anapaswa kuanza na ibara ya 13 yote na husussani ibara ya 13(6) ya katiba ya Tanzania huku akijiuliza kama masharti yaliyowekwa kwenye ibara hiyo yalifuatwa maana kitafsiri katiba haiosomwi kwa kuangalia ibara moja ni lazima uisome kwa pamoja kupata uhalali wa maamuzi kikatiba.
Baada ya kujiuliza maswali kadha ya kiprocedure/hatua za uamuzi jaji pia alipaswa kuijielekeza pia kwenye substantive rights.
Kwa maoni yangu kwa kuwa msingi wa shauri ni katiba na ni juu ya maamuzi yalifanywa na spika kwa mujibu wa sheria kama alivyo dai hivyo Mahakama kuamua kuwa maamuzi kuwa spika alikosea kutangaza kiti cha mbunge kiwazi hayawezi sababisha mgogoro wa kikatiba.(interpretation is mine)
1. Moja juu ya hoja kama uteuzi wa mtu kuwa mbunge ulikuwa halali au si halali 83(1)(a)
2. Kuhoji kama kiti cha mbunge ki wazi au la (83) (1)(b).
Sasa niende kwenye scenario na maoni yangu juu ya uamuzi wa jaji kuyakataa maombi kwa sababu alizo toa hususani kuamua kuwa kuyakubali maombi ya lissu ni kuleta mgogoro wa kikatiba.
SPIKA NDUGAI alitangaza kuwa kiti cha Mbunge(Tundu Lissu) kiwazi, na tume hapo hapo ikatisha uchuguzi ambao kimsingi chadema hawakushiriki na hivyo in my opinion hawangeweza kuwa na uhalali wa kupinga uchaguzi ambao uliitishwa na tume na wao kutoshiriki(locus standi).
Lakini hoja kuu hapa ni je ni kweli kiti cha Mbunge lissu kilikuwa wazi kama alivyosema spika,Je spika ana discrestion power ya kutangaza tu kiti cha mbunge ki waz au kuna utaratibu wa kisheria hadi kufikia huo uamuzi.
Ikiwa ni hoja ilikuwa ni katiba kama alivyosema NDUGAI JAJI alipaswa kujikitia kwenye Ibara 83(1)(b) ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Jaji pia anapaswa kuanza na ibara ya 13 yote na husussani ibara ya 13(6) ya katiba ya Tanzania huku akijiuliza kama masharti yaliyowekwa kwenye ibara hiyo yalifuatwa maana kitafsiri katiba haiosomwi kwa kuangalia ibara moja ni lazima uisome kwa pamoja kupata uhalali wa maamuzi kikatiba.
Baada ya kujiuliza maswali kadha ya kiprocedure/hatua za uamuzi jaji pia alipaswa kuijielekeza pia kwenye substantive rights.
Kwa maoni yangu kwa kuwa msingi wa shauri ni katiba na ni juu ya maamuzi yalifanywa na spika kwa mujibu wa sheria kama alivyo dai hivyo Mahakama kuamua kuwa maamuzi kuwa spika alikosea kutangaza kiti cha mbunge kiwazi hayawezi sababisha mgogoro wa kikatiba.(interpretation is mine)