Je, ni kweli Kujifukiza kuna madhara?

Mafiningo

JF-Expert Member
Sep 5, 2016
4,436
4,646
Niliwai sikia mitandaoni kuwa kujifukiza husaidia kupambana na covid-19.
Pia niliwai ona sehemu humu mitandaoni kuwa kujifukiza kunaweza leta madhara kwenye mapafu.

Nimetembelea kijiji kimoja ambacho watu wa huku wameitikia vema huu wito wa kujifukiza kutoka kwa viongozi wetu wa kisiasa. Hawa watu wanajifukiza angalau mara tano kwa wiki au kila siku.
Mimi sina utaalamu kwenye sekta hii ya afya japo nimepata wasiwasi juu ya afya zao kutokana na huyo mataalamu aliyesema kujifukiza kunaleta madhara kwenye mfumo wa upumuaji.

Naomba wataalamu wa afya mnisaidie maelekezo kuhusu namna nzuri ya kujifukiza ambayo itasaidia kujikinga na corona lakini pia isilete madhara yaliyotajwa.

Nawasilisha wakuu, Mungu awabariki.
 
Kujifukiza nishajifukiza sana kwenye miaka ya 1999 kuja mpk 2003 nadhani haina madhara japo yataka moyo kujifunika na shuka zito ndani na chungu che maji na dawa ya 100 degree sema ni tiba safi hadi malaria anakimbia
 
Alikua anachanganya nini na nini kwenye huo mfukizo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ule ule mchanganyiko unaotajwa mtandaoni na wengi, majani ya mwembe, mpera, mchai Chai, karafuu, mwarobaini na tangawizi.

On my logic behind the scen ni kuwa kinachiponyesha ni mvuke wenye joto kali. Kirusi cha corona kimeundwa na lipids na protein, lips imeicover protein.

Normal chemical skills I have, lipids ni mafuta. Mafuta kwenye joto yanayeyuka. Mvuke una joto, that means ukivuta hewa yenye mvuke wa joto huenda kuyeyusha mafuta ya corona na kuisambaratisha.

Logic ya kunawa mikono na sabuni kikemia ni ile ile sawa na kujifukiza. Mafuta huaribika kwa sabuni yoyote ile, nguo yako chombo chako amakituchochote kile kikiwa na mafuta ukakiosha kwa sabuni yoyote ile hutakata.
Hivyo ukiwa na virusi vya korona kwenye mikono yako na ukanawa kwa sabuni umesafisha mafuta ya corona na kuisambaratisha.

The logic on alcohol kwenye vitasamikono na lipids inahitaji mchemia (chemists) atuelezee reaction ya alcohol na lipids hutokea nn.

Nadhani hapa ndo ombwe la wataalam wetu kureact urgently kwa masuara kama haya.

Kwa hyo ushauri wangu kwako jifukize kwa haraka sana kadili uwezavyo regardless kwamba unamchanganyiko wote ama rah.

Asante, stay safe
 
M
Kujifukiza nishajifukiza sana kwenye miaka ya 1999 kuja mpk 2003 nadhani haina madhara japo yataka moyo kujifunika na shuka zito ndani na chungu che maji na dawa ya 100 degree sema ni tiba safi hadi malaria anakimbia
Mkuu hawa watu hawana dalili zozote za corona lakini wanajifukiza karibu kila siku.
Baadhi nimewashauri kuwa wajifukize tu pale watakapodhani wana dalili za corona, lakini sina uhakika wa usahihi wa ushauri wangu kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa anaumwa corona?
Alikuwa na dalili za corona, sasa kwa mazingira haya tulionayo ukikata ujisimbitishie kuwa unakorona itakuchukua sku kadhaa, corona hatakuwa anakusubiri bali atakuwa kalla na wew mbele watakuja watu wa manispaa kukuhifadhi na ndg wasiozidi kumi.

Take care, shughulikia dalili za corona haraka sana. Usisubiri kupimwa
 
  • Thanks
Reactions: sab
jana mwenyewe nimejifukiza..hapa nipo fiti kabisa mkuu.
Kujifukiza siyo kinga bali ni tiba, hivyo kama umejifukiza ukitaradali kwamba utaikwepa Coonya utakuwa umechemka. Ila kama ilikuwa na mafua hapo sawa!
 
Ni ule ule mchanganyiko unaotajwa mtandaoni na wengi, majani ya mwembe, mpera, mchai Chai, karafuu, mwarobaini na tangawizi.

On my logic behind the scen ni kuwa kinachiponyesha ni mvuke wenye joto kali. Kirusi cha corona kimeundwa na lipids na protein, lips imeicover protein.

Normal chemical skills I have, lipids ni mafuta. Mafuta kwenye joto yanayeyuka. Mvuke una joto, that means ukivuta hewa yenye mvuke wa joto huenda kuyeyusha mafuta ya corona na kuisambaratisha.

Logic ya kunawa mikono na sabuni kikemia ni ile ile sawa na kujifukiza. Mafuta huaribika kwa sabuni yoyote ile, nguo yako chombo chako amakituchochote kile kikiwa na mafuta ukakiosha kwa sabuni yoyote ile hutakata.
Hivyo ukiwa na virusi vya korona kwenye mikono yako na ukanawa kwa sabuni umesafisha mafuta ya corona na kuisambaratisha.

The logic on alcohol kwenye vitasamikono na lipids inahitaji mchemia (chemists) atuelezee reaction ya alcohol na lipids hutokea nn.

Nadhani hapa ndo ombwe la wataalam wetu kureact urgently kwa masuara kama haya.

Kwa hyo ushauri wangu kwako jifukize kwa haraka sana kadili uwezavyo regardless kwamba unamchanganyiko wote ama rah.

Asante, stay safe
Nondo safiii hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni ule ule mchanganyiko unaotajwa mtandaoni na wengi, majani ya mwembe, mpera, mchai Chai, karafuu, mwarobaini na tangawizi.

On my logic behind the scen ni kuwa kinachiponyesha ni mvuke wenye joto kali. Kirusi cha corona kimeundwa na lipids na protein, lips imeicover protein.

Normal chemical skills I have, lipids ni mafuta. Mafuta kwenye joto yanayeyuka. Mvuke una joto, that means ukivuta hewa yenye mvuke wa joto huenda kuyeyusha mafuta ya corona na kuisambaratisha.

Logic ya kunawa mikono na sabuni kikemia ni ile ile sawa na kujifukiza. Mafuta huaribika kwa sabuni yoyote ile, nguo yako chombo chako amakituchochote kile kikiwa na mafuta ukakiosha kwa sabuni yoyote ile hutakata.
Hivyo ukiwa na virusi vya korona kwenye mikono yako na ukanawa kwa sabuni umesafisha mafuta ya corona na kuisambaratisha.

The logic on alcohol kwenye vitasamikono na lipids inahitaji mchemia (chemists) atuelezee reaction ya alcohol na lipids hutokea nn.

Nadhani hapa ndo ombwe la wataalam wetu kureact urgently kwa masuara kama haya.

Kwa hyo ushauri wangu kwako jifukize kwa haraka sana kadili uwezavyo regardless kwamba unamchanganyiko wote ama rah.

Asante, stay safe
Asante kwa elimu hii mkuu. Nina kiswali kimoja naomba unisaidie:
Muda gani nitumie kujifukiza? Mtoto na mtu mzima" kuna tofauti yoyote ya kiasi cha joto la maji na muda wa kujifukizia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa na dalili za corona, sasa kwa mazingira haya tulionayo ukikata ujisimbitishie kuwa unakorona itakuchukua sku kadhaa, corona hatakuwa anakusubiri bali atakuwa kalla na wew mbele watakuja watu wa manispaa kukuhifadhi na ndg wasiozidi kumi.

Take care, shughulikia dalili za corona haraka sana. Usisubiri kupimwa
Noted
 
Back
Top Bottom