fierceman
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 553
- 757
habari wanajf kuna rafiki yangu kaniambia kuwa hii course co in medicine ipo kwenye mchakato wa kufutwa kabisa nikamuuliza we umesikia wapi akasema ni mwaka wapili sasa bunge lajadili nikaamua kukaa tu kimya sasa je ninyi wenzangu mmesikia hii tujuzane kama ni kweli nini hasa sababu ya kufuta?