stritglow
JF-Expert Member
- Apr 7, 2018
- 622
- 1,751
Condoms are a necessary evil. Without them, people would be walking around with all kinds of STDs.
Lakini pia watu wengi huwa wanakwepa kuzitumia kwa kigezo kuwa kufanya mapenzi na condom kunaondoa ladha ya tendo hilo, na wengine kudiriki kusema kuwa ni sawa na haujafanya kitu.
So opinion yako ikoje kuhusu hilo, je ni kweli kufanya mapenzi kwa kutumia condom inapunguza/ondoa ladha na pia inakuwa ni sawa na haujafanya kitu?
Lakini pia watu wengi huwa wanakwepa kuzitumia kwa kigezo kuwa kufanya mapenzi na condom kunaondoa ladha ya tendo hilo, na wengine kudiriki kusema kuwa ni sawa na haujafanya kitu.
So opinion yako ikoje kuhusu hilo, je ni kweli kufanya mapenzi kwa kutumia condom inapunguza/ondoa ladha na pia inakuwa ni sawa na haujafanya kitu?