Hivi ni kweli kiswahili kina misamiati michache au sisi wenyewe tunarahisisha tu kwenye kuongea?
Unaposema lugha fulani ina misamiati michache ni lazima ulinganishe na.lugha nyingine, mfano unaweza sema; kiswahili kina misamiati mingi kuliko Kirundi au unaweza sema Kiswahili kina misamiati michache kuliko kiingereza au Kiarabu ni lugha yenye misamiati mingi kuliko lugha yoyote.
Sasa Unaposema Kiswahili kina misamiati michache, je unalinganisha kiswahili na Lugha ipi??