mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Mtaalamu kwani ni Mungu,anyway umekuwa muungwanaThanks kwa ufafanuzi, nilishangaa sana aliponiambia eti within 72hrs sikutaka kumbishia maana yeye ni mtaalamu na amekutana na case nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaalamu kwani ni Mungu,anyway umekuwa muungwanaThanks kwa ufafanuzi, nilishangaa sana aliponiambia eti within 72hrs sikutaka kumbishia maana yeye ni mtaalamu na amekutana na case nyingi
Zile rapid Test za combo hapa tz zipo!? Na je wale wa Damu salama wanatumia kit gani kupima maambukizi!??Thanks kwa ufafanuzi, nilishangaa sana aliponiambia eti within 72hrs sikutaka kumbishia maana yeye ni mtaalamu na amekutana na case nyingi
Combo ziko cpl muhimbili,damu salama nadhani ELISAZile rapid Test za combo hapa tz zipo!? Na je wale wa Damu salama wanatumia kit gani kupima maambukizi!??
Asante mkuu kwa elimu nzuri, japo umeconclude hovyo!! Mimi nililenga kupata elimu na sio vinginevyo!!!Tunaanza na sd bioline sabab iko more sensitive than specific...... Kuwa sensitive inamaana inaweza kudetect hata magonjwa mengne mbal na HIV..... Mfano ukiwa na baadhi ya venereal diseases sd bioline itareact positive...... Hii huchukua dakika 3 mpk 10...... Baad ya hapo majibu mengne iletayo ni invalid kwa sabab ukiiacha baad ya masaa inaweza chora mstar wa pili..... So baad ya dakika 3~10 kuonesha negative it means hauna....... Mistar mingne ikijitokeza baad ya hapo dont consider them.
Baad ya hapo huwa tunahamia kweny unigold endapo sd bioline imereact positive..... Unigold iko more specific than sensitive na hutumia 5 to 15 minutes only........ Majibu mengne baad ya huo muda consider them invalid..... Kwa hiyo itareact positive endapo only una HIV infection..... Km hauna haiwez react positive hata km una magonjwa mengne ambayo sd bioline hureact positive, hio ndio maana ya specificity..... Yan inareact only in HIV antibodies.......
Hio ndo sabab ya kutumia unigold as confirmatory test endapo sd bioline imereact positive..
Kwa hiyo huyo jamaa aliekuambia baad ya siku 3 ndo inaleta majibu kakuingiza chakani..... Labd ulikuw positive akaogopa kukumbia kiaina sabab kudeliver majibu ambayo ni positive kwa client huwa ni shughuli pevu....
Juzi jumapili nilikwenda kupima HIV katika maabara moja hivi! Yule lab technician alinipima moja kwa moja kwa kutumia kipimo cha unigold!! Mimi nafahamu kuwa kwanza hutumika SD Bioline HIV 1/2 iwapo kikireact ndio unigold inatumika kama confirmatory test. Katika maelezo yake yule lab technician akagusia kuwa kina uwezo wa kuonyesha maambukizi baada ya masaa 72 (siku 3)!
Majibu yakawa negative!!
Nijuavyo mimi kutoka maandiko mbali mbali kipimo cha unigold hutumia antibodies kuangalia maambukizi ambapo mwili huchukua kuanzia siku 21 hadi 84 kudevelop detectable antibodies na pia inaelezwa kuwa 95% hugundulika wiki ya 4 (siku 28) kwa kipimo hichi cha antibodies!
Lakini pia nijuavyo mm unigold hutumika kwa ajili ya confirmatory baada ya rapid test nyingine kuonyesha reactive!!
Maswali
1. Je ni kweli kuwa unigold ina uwezo wa kugundua maambukizi baada ya masaa 72 (Siku 3)
2. Je ni kwann unigold hutumika kwa ajili confirmatory test!? Inamaanisha kuwa kipo morden zaidi!?
Kwani ulikutwa nao? Nenda kacheck hospital nyimgine ili uwe na amani.Thanks kwa ufafanuzi, nilishangaa sana aliponiambia eti within 72hrs sikutaka kumbishia maana yeye ni mtaalamu na amekutana na case nyingi
Nimeelewa, asante kwa elimu nzuri!Tunaanza na sd bioline sabab iko more sensitive than specific...... Kuwa sensitive inamaana inaweza kudetect hata magonjwa mengne mbal na HIV..... Mfano ukiwa na baadhi ya venereal diseases sd bioline itareact positive...... Hii huchukua dakika 3 mpk 10...... Baad ya hapo majibu mengne iletayo ni invalid kwa sabab ukiiacha baad ya masaa inaweza chora mstar wa pili..... So baad ya dakika 3~10 kuonesha negative it means hauna....... Mistar mingne ikijitokeza baad ya hapo dont consider them.
Baad ya hapo huwa tunahamia kweny unigold endapo sd bioline imereact positive..... Unigold iko more specific than sensitive na hutumia 5 to 15 minutes only........ Majibu mengne baad ya huo muda consider them invalid..... Kwa hiyo itareact positive endapo only una HIV infection..... Km hauna haiwez react positive hata km una magonjwa mengne ambayo sd bioline hureact positive, hio ndio maana ya specificity..... Yan inareact only in HIV antibodies.......
Hio ndo sabab ya kutumia unigold as confirmatory test endapo sd bioline imereact positive..
Kwa hiyo huyo jamaa aliekuambia baad ya siku 3 ndo inaleta majibu kakuingiza chakani..... Labd ulikuw positive akaogopa kukumbia kiaina sabab kudeliver majibu ambayo ni positive kwa client huwa ni shughuli pevu....
1.Unigold haina uwezo wa kugundua maambukizi ndani ya masaa 72 kwa kua unigold ni kipimo kinachosoma antibody yaani kinga mwili zinazozalishwa baada ya kuingia kwa VVU mwilini. Kwa walio wengi kinga mwili hizi huanza kuzalishwa kuanzia wiki ya nne tokea kuingia kwa VVU mwilini. Hivyo ni kwamba Unigold ina uwezo wa ku detect kingamwili hawa kuanzia wiki ya nne ila ni kwa asilimia ndogo
2.Unigold inatumika kama kipimo cha uthibitisho kwa kutokana na uwezo wake wa kugundua antibody wa vvu pekee tofauti na rapid test nyingine kama determine na SD bioline ambazo zinaweza kureact endapo utakua na magonjwa mengine ya zinaa utofauti upo hapo tu! hivyo kama bioline ita react negative hata ukienda kwenye unigold itakuwa neg ila Bioline iki react positive unaweza ukaenda kwenye ungold ikareact neg kutokana na uwezo wake wa kusoma antibody wa VVU tu! uwezo ambao bioline haina! ila kama na Unigold ikisoma +ve means una maambukizi ya vvu
NegativeSd bioline ikisoma postive na Unigold ikasoma negative hapo mpimaji anatoa majibu gani kwa mpimwaji?
Huyo anasomeka ni negativeSd bioline ikisoma postive na Unigold ikasoma negative hapo mpimaji anatoa majibu gani kwa mpimwaji?