Ngoja waamke walio maeneo hayo.BREAKING NEWS Kanisa la TFE Kwaneema la jijini Mwanza lateketea kwa moto usiku huu....majira ya saa 7:00 usiku
tunaomba ukweli wa hii habari
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kiswahili KIGUMU SN...Mimi nilidhani LABDA kutakuwa na TAMASHA FULANI LA DINI hapo KANISANI,, au MJADALA FULANI wa DINI ,kumbe LIMEWAKA MOTO? duu.....
Mkuu umepost saa 12:47 alafu unasema "usiku huu"?Inawezekana maana nilipishana na gari aina ya Land cruiser Prado ipo mbio saana ikiwa inaishindikiza gari ya zimamoto maeneo ya Nera, makongoro road saa saba za usiku huu
Sent using Jamii Forums mobile app
SN=SANA?Kiswahili KIGUMU SN...Mimi nilidhani LABDA kutakuwa na TAMASHA FULANI LA DINI hapo KANISANI,, au MJADALA FULANI wa DINI ,kumbe LIMEWAKA MOTO? duu.....
Sent using Jamii Forums mobile app