Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Ili kuwa na hakika ya kuwapigia wagombea unawataka inakulazimu uwe mahali ulipojiandikisha wakati ulipojisajili katika daftari la wapiga kura, Haya maelezo mengine ya kujaza fomu maalum siku ya kupiga kura yapo lakini ukifika katika kituo cha kupiga kura unaweza usipige kura kwa sababu jina lako halipo katika hicho kituo.