Uchaguzi 2020 Je, ni kweli Kama haupo Ulipojiandikisha hupigi kura hata za Rais?

Ili kuwa na hakika ya kuwapigia wagombea unawataka inakulazimu uwe mahali ulipojiandikisha wakati ulipojisajili katika daftari la wapiga kura, Haya maelezo mengine ya kujaza fomu maalum siku ya kupiga kura yapo lakini ukifika katika kituo cha kupiga kura unaweza usipige kura kwa sababu jina lako halipo katika hicho kituo.
 
Unatumia BVR kuandikisha wapiga kura kisha mtu hawezi kupiga kura kituo ambacho hajajiandikishia, huo sio upumbavu wa kiwango cha lami?

Kulikuwa na sababu gani kutumia gharama kununua devices na software pamoja na kutrain watu wakati kiuhalisia tume ina operate manually?

Kuliko kufuja kodi zetu, wangetumia daftari za mia mbili kwenye vituo kuandikisha wapiga kura kisha hizo fedha tukaelekeza maeneo mengine.
NEC wanao uwezo wa kuhesabu kura zinazopigwa katika kituo chochote. Chadema ndio wanakataa utaratibu huo usitumike. Kwahiyo usiwalaumu NEC, walaumu Chadema.
Wasingesikilizwa, mngelalamika kuwa kuna uchakachuaji!
 
Hivi ninyi Bavicha mbona vichwa maji? Hivi muulizeni Lissu wenu kwanini ana wambia mawakala wake lazima wawe na orodha ya wapiga kura wa kituo? Hii ina wasaidia ninyi msilie lie kuibiwa maana mtu awezi piga kura ambapo hajajiandikisha! Halafu lazima uwe kwenye orodha! Sasa kama mgeruhusiwa kupiga popote si mngelia zaidi na zaidi?
Bado nitaendelea kusema kwamba NEC Ina 'visheria' fulani vya 'kijima'.

Tangu 1996 hakuna Reformation yoyote juu ya mabadiliko katika mfumo, Ni upuuzi tu na ukada umejaa pale.
 
Mkuu nadhani huelewi hata maana ya siasa ndio maana unabwatuka hivyo.

Mtu anayedhani anaweza kuwa na maisha nje ya siasa ni mtu ambaye bado hajajitambua kabisa. Siasa/Wanasiasa ndio wanaamua maisha yaende vipi.

Umewahi kuwaza kuwa hata uwe na mafanikio vipi, utajenga shule yako ili wanao wapate elimu? Utajenga hospitali ili utibiwe? Utajenga barabara ili usafiri?

Leo kuna watu walipambana kama unavyo shauri lakini kutokana na siasa mbovu, nyumba walizo jenga zimebomolewa hawana hata pa kuishi. Wengine wamefilisiwa mitaji yao kwa siasa mbovu.

Wengine wamekufa sababu ya siasa mbovu na pengine kwenye uhai wao walikuwa na fikra kama zako kuwa siasa haiwahusu hivyo hawakushiriki kuchagua viongozi wazuri wakawaachia watu wakawawekea watu wa hovyo.
Ni kweli maisha yenyewe Ni siasa tosha. Ila wengi wenu ni mashabiki tu, na hamna chochote mnachoweza kufanya juu ya uelekeo wa kisiasa nchini. Kwamaana nyingine mnaishi kwenye ndoto za watu. Tokeni huko.
 
Unatumia BVR kuandikisha wapiga kura kisha mtu hawezi kupiga kura kituo ambacho hajajiandikishia, huo sio upumbavu wa kiwango cha lami?

Kulikuwa na sababu gani kutumia gharama kununua devices na software pamoja na kutrain watu wakati kiuhalisia tume ina operate manually?

Kuliko kufuja kodi zetu, wangetumia daftari za mia mbili kwenye vituo kuandikisha wapiga kura kisha hizo fedha tukaelekeza maeneo mengine.
Mkuu, Hilo ndo muhimu.

Yaani nashangaa hii nchi sijui ni ya kusadikika, NEC imetumia gharama kubwa kununua vifaa vya ,,'technology' kurahisisha michakato ya upigaji kura lakini Cha ajabu wanaogopa kutumia.
.. na hii Ni kwa sababu wanajua technology haidanganyi maana wameshazoea kuiba kura 'manually' .

Huyu ngumbari Ruttashobolwa anashindwa hata kuchanganua mambo.
 
NEC wanao uwezo wa kuhesabu kura zinazopigwa katika kituo chochote. Chadema ndio wanakataa utaratibu huo usitumike. Kwahiyo usiwalaumu NEC, walaumu Chadema.
Wasingesikilizwa, mngelalamika kuwa kuna uchakachuaji!
Unaweza kuweka uthibitisho hapa wa kuwa CDM ndio wanakataa?

Ni mambo mangapi CDM wanayakataa kwenye muundo wa NEC na namna ya utendaji wake na hayajawahi kurekebishwa?

Tume inaongozwa na sheria japo nyingi hazifuatwi na NEC yenyewe sio maoni ya chama fulani.

Kwa hiyo leo CDM wakisema kura zihesabiwe hadharani NEC watafuata?
 
Mkuu, Hilo ndo muhimu.

Yaani nashangaa hii nchi sijui ni ya kusadikika, NEC imetumia gharama kubwa kununua vifaa vya ,,'technology' kurahisisha michakato ya upigaji kura lakini Cha ajabu wanaogopa kutumia.
.. na hii Ni kwa sababu wanajua technology haidanganyi maana wameshazoea kuiba kura 'manually' .

Huyu ngumbari Ruttashobolwa anashindwa hata kuchanganua mambo.
Dah yaani acha tu, halafu yanakuja mataahira hapa kutetea upumbavu.

Kama huu mfumo wa elimu uliandaliwa kuwapumbaza watu, aliyeuandaa amefanikiwa kwa zaidi ya 100%. Tena wanaotetea huu upuuzi utakuta ni graduate kabisa yani.
 
Sasa utapigaje kura sehemu ambayo hujajuandikisha? Kila kituo kina orodha ya wapiga kura, kwahiyo uwezi piga kura sehemu ambayo hakuna jina lako!

Hii inaondoa mwanya wa ninyi kusema mmeibiwa kura!
Tatizo ni kufanya mambo kijima badala ya kutumia mifumo ya tehama .
 
Unaposema mashabiki tu, unamaanisha nini?

Kwa hiyo ulitaka wote tuwe 'wachezaji'? Yaani wote tuingie bungeni tuwe wabunge ndio uone tunaweza kubadili uelekeo wa siasa? Au ulitaka wote tuwe maraisi ili uone tunabadili uelekeo wa siasa?

Tumia muda kujifunza elimu ya uraia itakusaidia ili ujue wajibu na nafasi yako kwenye SIASA, UCHUMI NA JAMII.

Hivyo vitu vitatu huwezi vitenganisha, vinafanya kazi kwa mahusiano makubwa sana. Wataalamu wanaviita 'SIAMESE TWINS' (Mapacha walioungana).
Ni kweli maisha yenyewe Ni siasa tosha. Ila wengi wenu ni mashabiki tu, na hamna chochote mnachoweza kufanya juu ya uelekeo wa kisiasa nchini. Kwamaana nyingine mnaishi kwenye ndoto za watu. Tokeni huko.
 
Unaposema mashabiki tu, unamaanisha nini?

Kwa hiyo ulitaka wote tuwe 'wachezaji'? Yaani wote tuingie bungeni tuwe wabunge ndio uone tunaweza kubadili uelekeo wa siasa? Au ulitaka wote tuwe maraisi ili uone tunabadili uelekeo wa siasa?

Tumia muda kujifunza elimu ya uraia itakusaidia ili ujue wajibu na nafasi yako kwenye SIASA, UCHUMI NA JAMII.

Hivyo vitu vitatu huwezi vitenganisha, vinafanya kazi kwa mahusiano makubwa sana. Wataalamu wanaviita 'SIAMESE TWINS' (Mapacha walioungana).
Aliekudanganya kuwa wanaoicontrol siasa ni lazima wawe bungeni ni nani?
 
Aliekudanganya kuwa wanaoicontrol siasa ni lazima wawe bungeni ni nani?
Labda wewe ndio umeelewa hivyo, siasa ni jambo mtambuka na hivyo haliwezi kuwa controlled na bunge peke yake, wapo wadau wengine wa siasa mbali na hao wanaofanya active politics ambao ni wengi zaidi.

Wewe umesema sisi 'mashabiki' hatuwezi kubadili uelekeo ndio nikakuuliza ulitaka tuingie wote bungeni au ikulu ndio uone tunabadili uelekeo?

Maana kwenye siasa kuna makundi matatu tu, Vyama, Wagombea na Wananchi/wapiga kura.
 
Unatumia BVR kuandikisha wapiga kura kisha mtu hawezi kupiga kura kituo ambacho hajajiandikishia, huo sio upumbavu wa kiwango cha lami?

Kulikuwa na sababu gani kutumia gharama kununua devices na software pamoja na kutrain watu wakati kiuhalisia tume ina operate manually?

Kuliko kufuja kodi zetu, wangetumia daftari za mia mbili kwenye vituo kuandikisha wapiga kura kisha hizo fedha tukaelekeza maeneo mengine.
Naam, hilo ndio lilikuwa swala langu la msingi hapa. Mambo in electronic iweje tufanye utekelezaji manually?
 
Kwa dunia ya sasa nadhani wenye akili zao uko duniani wanatakiwa kuliangalia vizuri hili jambo.Waje na mfumo ambao ikiwa umejiandikisha ukiwa popote utaweza kupiga kura tena ikiwezekana zote.Tatizo libaki kwetu namna yakurekebisha sheria na vikanuni uchwara visivyoendana na kasi ya dunia na teknolojia.
 
Hiyo wala sio sababu yakutolewa kwa mtu mwenye akili timamu.Wakati inajulikana fika kuanzia kwenye tume hadi vyombo vya dola havitoi uhuru sawa wa ushindani kwenye ulingo wa siasa.Madudu yanayofanywa na hivyo vyombo kabla na kipindi cha uchaguzi ili kukibeba chama kilichopo madarakani ni mengi na makubwa zaidi kuliko ata hilo lakujiandikisha na kuhesabu kura.
Sasa utapigaje kura sehemu ambayo hujajuandikisha? Kila kituo kina orodha ya wapiga kura, kwahiyo uwezi piga kura sehemu ambayo hakuna jina lako!

Hii inaondoa mwanya wa ninyi kusema mmeibiwa kura!
 
Hivi mjinga ni nani kati ya mwananchi wakawaida asiyejua kua hawezi kupiga kura popote na msomi aliyepewa madaraka yakuongoza nakuelimisha watu asifanye hivyo na pia asiweke mfumo huru na mzuri utakaomfanya mtu yoyote mahali popote aweze kutimiza haki yake yakupiga kura,kwasababu ni dhahiri anajua watu wanashughuli mbali mbali na toka kipindi cha kuhakiki hadi kipindi cha uchaguzi muda mrefu unakua umepita.Hebu tumia akili zako vizuri wewe.
Sio swala la kutopewa maelekezo ni swala la wewe kuwa mjing mjinga ndio maana vitu vidogo kama hivi hadi leo hamvijui halafu mnawadanganya watu mtashinda uchaguzi hahahaha! Wajinga kama ninyi wako wengi sana humu wanashangilia tuu lakini hawajui kama hawewezi kupiga kura popote.
 
Unaweza kuweka uthibitisho hapa wa kuwa CDM ndio wanakataa?

Ni mambo mangapi CDM wanayakataa kwenye muundo wa NEC na namna ya utendaji wake na hayajawahi kurekebishwa?

Tume inaongozwa na sheria japo nyingi hazifuatwi na NEC yenyewe sio maoni ya chama fulani.

Kwa hiyo leo CDM wakisema kura zihesabiwe hadharani NEC watafuata?
NEC haiwezi kufuata kila kitu kinachosemwa na vyama lakini NEC ni wasikivu, wanajitahidi kadri iwezekanavyo kusikiliza maoni ya wadau. Ndio maana wamesikiliza maoni ya Chadema kuhusu vituo vya kupiga kura.
 
NEC haiwezi kufuata kila kitu kinachosemwa na vyama lakini NEC ni wasikivu, wanajitahidi kadri iwezekanavyo kusikiliza maoni ya wadau. Ndio maana wamesikiliza maoni ya Chadema kuhusu vituo vya kupiga kura.
Acha nikupuuze tu, maana naona unahisi hili jukwaa la vilaza uwalishe mashudu yako.
 
Unatumia BVR kuandikisha wapiga kura kisha mtu hawezi kupiga kura kituo ambacho hajajiandikishia, huo sio upumbavu wa kiwango cha lami?

Kulikuwa na sababu gani kutumia gharama kununua devices na software pamoja na kutrain watu wakati kiuhalisia tume ina operate manually?

Kuliko kufuja kodi zetu, wangetumia daftari za mia mbili kwenye vituo kuandikisha wapiga kura kisha hizo fedha tukaelekeza maeneo mengine.
:D :D :D :D :D :D POINT TUPU.

Hizi nondo waweza kutumiwa wanaoonekana ila ni wasiojulikana.
Kuandikisha tunaandikishwa kidijitali, kupiga kura kianalojia.

Kweli BORA kutumia madaftari ya 200, na kuchapisha vitambulisho ka card za Kitchen party.

Everyday is Saturday...............................:cool:
 
Back
Top Bottom