Je!? Ni kweli kakobe alitaka kuvunja ndoa ya mtu singida?

usiwashambulie waandishi wa habari bure. tatizo ni sisi wapentekoste wenyewe ambao hatujajenga misingi thabiti ya kushughulikia conflicts ndani ya makanisa.
Kakobe mwenyewe ni expert wa kukimbilia waandishi wa habari, inawezekana ndiyo sababu huyo mama amekimbilia huko. angejenga msingi imara wa conflict resolution ndani kwa ndani hali hii ya kukimbilia kwa waandishi isingetokea.

wewe si mpentecost, na usitudanganye, hauna hadhi hiyo, maneno yako yanakuweka wazi. acha uzushi. wapent hwako kama wewe.
 
wewe si mpentecost, na usitudanganye, hauna hadhi hiyo, maneno yako yanakuweka wazi. acha uzushi. wapent hwako kama wewe.
Na huu upentecoste mara nyingi umetumika na waovu kuficha tabia zao!!! Tuwe makini sana!! Nyakati za mwisho hizi!!
 
wewe si mpentecost, na usitudanganye, hauna hadhi hiyo, maneno yako yanakuweka wazi. acha uzushi. wapent hwako kama wewe.
Attacking language!!!, Try to sofsticate a littlebit to be productive na kuwa na haiba ya upentekoste vinginevyo tutakuidentify kuwa ni walewale!!!
 
wewe si mpentecost, na usitudanganye, hauna hadhi hiyo, maneno yako yanakuweka wazi. acha uzushi. wapent hwako kama wewe.

Maneno yapi? kubali ukweli na ujirekebishe? usiwe kama Yuda isikari yote aliyekuwa miongoni mwa wale 12 waliokiri kuwa hakuna hata mmoja wa kumsaliti mwishoni akamsaliti.
ndani ya upentecoste kuna tatizo na wenye macho ya kiroho na kimwili wanajua hilo na ndiyo maana hata wachungaji wenyewe kwa wenyewe wanashambuliana, hata kushambuliana kuwa wengine wanajihusisha na ushirikina. Kakobe humshambulia rwakatare mara kwa mara, na wengine kama akina Katunzi kupitia wapo radio ndiyo usiseme ni matusi ya kejeli kwa watumishi wengine wapentekoste mbele kwa mbele.

Vipofu wa kiroho kama wewe ni vigumu kuliona na wanajivunia haya, ilimradi tu wanadai ni wapentekoste. Unaishia kuhukumu na kutukana watu! wewe una hadhi gani ya upentekoste? kwa sababu tu unasali kwa kakobe? Kumbuka Yesu alisema Haki yenu isipozidi haki ya mafarisayo mbinguni hamwingii. Hawa watumishi wapentecoste wanaojimbana kila siku, huo ndio wito wao?

ikiwa watumishi wanashambuliana hizi muda wa kujenga systems za uongozi na utawala ndani ya makanisa yao kushughulikia migogoro midogo mpaka wanakimbilia kwa waandishi watakuwa nao?
Wengi pengine hata wewe mmegeuza upentecoste kichaka kama si fimbo ya kuchapia wengine kwa kigezo cha repent na uokoke.Ni lazima kutoa boriti ndani ya jicho lako kabla ya kupiga kelele kuhusu kibanzi cha mwenzako.

Kumbuka Yesu alisema wengi watakuja watasema "Bwana Bwana...., naye atawajibu siwajui, ondokeni." Upentekoste wako isiwe fimbo ya kuhukumu na kutukana wengine na kujiona wewe ni bora zaidi ya wengine mbele za Mungu.
 
Attacking language!!!, Try to sofsticate a littlebit to be productive na kuwa na haiba ya upentekoste vinginevyo tutakuidentify kuwa ni walewale!!!

Mkuu, I am not surprised, ni one of products ya modern pentecostalism-kakobe products wasiotaka kukosolewa. They cant even follow Jesus' behavior hata kwa nukta moja. hawapendi kuambiwa ukweli. so as their kakobes.
 
Asante sana mtumishi wa Mungu "mpeni sifa Yesu" watu wengi wamepotoka na wanapenda injili laini idanganyayo (Isaya 30:10 ) Na hawawezi hata kuthubutu kumsikiliza Askofu Kakobe,WANAMHUKUMU KWA KILE WASIKIACHO TUKWA WALIOSHINDWA VIWANGO, Mtumishi wa Bwana ambaye binafsi amedhamiria kwa dhati yote kuiona pepo, Watu wanakimbilia miujiza na uponyaji badala ya uzima wa milele na wakifika pale wanashindwa viwango, NAKUOMBA WEWE MWENYE SHAKA FIKA UJIFUNZE PALE VIWANGO VYA MBINGUNI, "duniani mnao manabii na mitume wawasikie hao vinginevyo hukumu ya jehanamu ya moto ni LAZIMA" je hivyo ni vitisho?????????????!!!!!
Tena vitisho vikubwa
 
ninavyomjua kakobe, hasa kwenye hilo suala la ndoa, anaamini kuwa, ukishaolewa basi hautakiwi kuachana na mumeo, ukiachana naye ukaolewa na mwengine, unatenda dhambi. pia, anaamini kuwa, kama ulikuwa nyumba ndogo hata kama umezaa na mwanaume huyo watoto wengi, ni dhambi na unatakiwa kuachana naye. ukiwa kwenye mitara pia ni hivyohivyo. NA HII NI BIBLICAL, anasema ukweli kufanya hivyo. Tatizo ni kwamba,ukiwaita watu waje kuokoka, anakuja kila mtu ni sawa na umetupa nyavu baharini kukusana samaki changu, unakusana kamba, unakusanya kila aina ya samaki. wengi huwa wanaokoka lakini kumbe walikuwa wanaishi na wanaume za watu, walikuwa kwenye mitara etc. sasa baada ya kuokoka, kakobe huwa anawaambia waachane na vitu kama hivyo ili watafute waume zao halali kibiblia.

ukitaka kumhukumu mtu, msikilize kwanza, nyie mnaosema kuwa mlishamfuta, mnaonyesha upeo mdogo wa utu uzima na uelewa...you can't judge somebody without giving him a chance to be heard and defend himself..na usikikilize upande mmoja wa shilingi, weka zote mbili ndo utapata jibu kamili.

zaidi ya yote, kakobe ni mwanadamu, anaweza kuwa na mapungufu yake, hakuna malaika duniani. na hiyo haimpunguzii kutukuwa mtumishi wa Mungu. watu wengi huwa wanachanganya hii kitu, mtumishi wa Mungu akikosea, wanaruka juu, wanauliza kwanini...hawajui kama yeye naye ni mwanadamu kama wao. hata watumishi wote na manabii walikosea sana lakini Bado walikuwa watumishi wa Mungu..Yesu peke yake hakutenda dhambi, wengine wooote walitenda dhambi nyingi tu na bado Mungu aliendelea kuwaregard kuwa watumishi wa Mungu. KAMA MUNGU AKIHESEBU MAOVU, NANI ATASIMAMA JAMANI.....

watu wanasema kakobe anawakandamiza, lakini hajawalazimisha kuendelea kusali pale, si wahame kanisa...mbona huwa habembelezi na huwa anafukuza hata kufukuza mtu akifanya upuuzi? Tz ina uhuru wa kuabudu. Mimi siwezi kujaji jamaa bila kumsilikiliza yeye kwanza....

.
Tatizo hapa ni msingi(base). Hakuna biblia iliyowahi kumpa mwanamke kazi ya ukuhani. Hivyo basi kama Kakobe anawasimika wake za watu kuwa makuhani(wachungaji) kwa nini asitarajie kuvuna kimbunga kama hicho cha TBC1? I'hv got nothing personal!!
 
Hao waumini wakianza kujiuliza nani alimpa U-askofu wataanzia hapo kujiuliza na mengine..
But until then...waache vipofu waishi na vipofu..
 
Maneno yapi? kubali ukweli na ujirekebishe? usiwe kama Yuda isikari yote aliyekuwa miongoni mwa wale 12 waliokiri kuwa hakuna hata mmoja wa kumsaliti mwishoni akamsaliti.
ndani ya upentecoste kuna tatizo na wenye macho ya kiroho na kimwili wanajua hilo na ndiyo maana hata wachungaji wenyewe kwa wenyewe wanashambuliana, hata kushambuliana kuwa wengine wanajihusisha na ushirikina. Kakobe humshambulia rwakatare mara kwa mara, na wengine kama akina Katunzi kupitia wapo radio ndiyo usiseme ni matusi ya kejeli kwa watumishi wengine wapentekoste mbele kwa mbele.

Vipofu wa kiroho kama wewe ni vigumu kuliona na wanajivunia haya, ilimradi tu wanadai ni wapentekoste. Unaishia kuhukumu na kutukana watu! wewe una hadhi gani ya upentekoste? kwa sababu tu unasali kwa kakobe? Kumbuka Yesu alisema Haki yenu isipozidi haki ya mafarisayo mbinguni hamwingii. Hawa watumishi wapentecoste wanaojimbana kila siku, huo ndio wito wao?

ikiwa watumishi wanashambuliana hizi muda wa kujenga systems za uongozi na utawala ndani ya makanisa yao kushughulikia migogoro midogo mpaka wanakimbilia kwa waandishi watakuwa nao?
Wengi pengine hata wewe mmegeuza upentecoste kichaka kama si fimbo ya kuchapia wengine kwa kigezo cha repent na uokoke.Ni lazima kutoa boriti ndani ya jicho lako kabla ya kupiga kelele kuhusu kibanzi cha mwenzako.

Kumbuka Yesu alisema wengi watakuja watasema "Bwana Bwana...., naye atawajibu siwajui, ondokeni." Upentekoste wako isiwe fimbo ya kuhukumu na kutukana wengine na kujiona wewe ni bora zaidi ya wengine mbele za Mungu.

Yatosha! Yatosha Lumbe!
 
Mkuu nakuunga mkono kwa 40% japo hoja yako inaweza kuzua maswali mengi . Jiulize

1 - huyu mama alikuwa na wadhifa gani ndani ya kanisa la kakobe?
2- wakati anapewa wadhifa huo hakuwa na mume mbaye leo anaambiwa amwache?
3 - What went wrong?
Tatizo kuu lililopo ktk jumuiya ya wapentekoste hapa nchini ni kuwa wachungaji na watumishi wa Mungu wengi wamegeuka na kujifanya ni miungu watu badala ya kuwa watumishi wa Mungu wamegeuka kuwa watumishi wa makanisa(masinagogi yao tu).

Kumbuka mtumishi (mtunzaji wa shamba) alimwambia bwana wake kuwa asiukate mti ataupalilia, kuupa mbolea na kuunyweshea maji ili uzae matunda mwaka unaofuata.

Tatizo hawa wanaojiita watumishi wa Mungu theory hii hawaielewi. wanachofanya ni kuendekeza udikteta na kugeuza makanisa kuwa mali wao binafsi.
Baba - mtume na nabii
Mama - senior pastor!!!!!!!!
Huoni kuwa hii ni issue inayoweza kuvua matatizo kama haya??????!!!!
penye red siyo kweli hawa jamaa wako makini sana sikuhizi wana utaratibu mzuri sana,sema hawa wanaupako ambao wameshindwa kufuata masharti ya wapentecost,ndo wanao tisha watu,hawa ni pamoja na kakobe,wingira,mama b,mzee wa misukule na wengine wengi:crying:
 
...HUO NDO UANDISHI WA HABARI AMBAO HAUNA STRATEGY, hauna usomi, mtu anatafuta tu umaarufu, mtu anaendeshwa tu na chuki ,mtu anaendeshwa tu na vile anavyofikiri yeye na si vile hali halisi ilivyo na inavyotakiwa kuwa kwake yeye kama mwandishi wa habari...







lakini mtumishi usimhukumu huyo jamaa kwani kipimo hicho hicho kinawezatumika dhidi yalko. hebu tuone kama tunaweza kupata thread itakayozungumzia ishu hiyo.
 
penye red siyo kweli hawa jamaa wako makini sana sikuhizi wana utaratibu mzuri sana,sema hawa wanaupako ambao wameshindwa kufuata masharti ya wapentecost,ndo wanao tisha watu,hawa ni pamoja na kakobe,wingira,mama b,mzee wa misukule na wengine wengi:crying:

Mkuu nami nilimaanisha hivyo. hawa jamii ya wana upako kama "Mpeni Sifa Yesu" wanajiona ndiyo wapentecoste supper...wenye hati miliki ya upentecoste duniani, ilhali hata mienendo yao kiuongozi na kuitawala haiendani na upentecoste.
 
If you don't have evidence you have no right to speak. Tatizo letu kubwa ni kuwa na pre-conveived ideas kuhusu baadhi ya watu. Yaani tumeshawa-write-off kiasi kwamba likisemwa jambo juu yao hatufikirii hata mara mbili bali tunakurupuka na kuanza kuwashambulia.
 
analysist we mbaya sana! unachokonoa, unakaa pembeni na bonge la tabasamu ukiwaenjoi watumishi wa mungu wanavyopigana kwa hoja.
Usi mind minda, unajua huyu jamaa anasema turejee kwenye mada tuliyo nayo kisha anasema unatakiwa uokoke!!. IS this what we have on the table??
 
Hao waumini wakianza kujiuliza nani alimpa U-askofu wataanzia hapo kujiuliza na mengine..
But until then...waache vipofu waishi na vipofu..

POLE SANA NDG YANGU MAANA WEWE PIA WAONYESHA UPOFU KTK UELEWA WA NENO "U-ASKOFU" ASKOFU NI MTU ALIYEONGOKA NA NI MWANGALIZI TU WA MAKANISA ZAIDI YA MOJA.KAKOBE ANA MAKANISA ALMOST KILA MKOA,TATIZO NI DHANA YA KIKATOLIKI KWAMBA WATAKATIFU/MAASKOFU HUKALIWA VIKAO KUCHAGULIWA HUKU MAANDIKO YAKIWEKA WAZI ( Waebrania 12:14 " NA HUO UTAKATIFU AMBAO HAPANA MTU ATAKAYEMWONA BWANA ASIPOKUWA NAO" Je ukae chini ya wapotoshaji wa neno ?????!
 
ninavyomjua kakobe, hasa kwenye hilo suala la ndoa, anaamini kuwa, ukishaolewa basi hautakiwi kuachana na mumeo, ukiachana naye ukaolewa na mwengine, unatenda dhambi. pia, anaamini kuwa, kama ulikuwa nyumba ndogo hata kama umezaa na mwanaume huyo watoto wengi, ni dhambi na unatakiwa kuachana naye. ukiwa kwenye mitara pia ni hivyohivyo. NA HII NI BIBLICAL, anasema ukweli kufanya hivyo. Tatizo ni kwamba,ukiwaita watu waje kuokoka, anakuja kila mtu ni sawa na umetupa nyavu baharini kukusana samaki changu, unakusana kamba, unakusanya kila aina ya samaki. wengi huwa wanaokoka lakini kumbe walikuwa wanaishi na wanaume za watu, walikuwa kwenye mitara etc. sasa baada ya kuokoka, kakobe huwa anawaambia waachane na vitu kama hivyo ili watafute waume zao halali kibiblia.

ukitaka kumhukumu mtu, msikilize kwanza, nyie mnaosema kuwa mlishamfuta, mnaonyesha upeo mdogo wa utu uzima na uelewa...you can't judge somebody without giving him a chance to be heard and defend himself..na usikikilize upande mmoja wa shilingi, weka zote mbili ndo utapata jibu kamili.

zaidi ya yote, kakobe ni mwanadamu, anaweza kuwa na mapungufu yake, hakuna malaika duniani. na hiyo haimpunguzii kutukuwa mtumishi wa Mungu. watu wengi huwa wanachanganya hii kitu, mtumishi wa Mungu akikosea, wanaruka juu, wanauliza kwanini...hawajui kama yeye naye ni mwanadamu kama wao. hata watumishi wote na manabii walikosea sana lakini Bado walikuwa watumishi wa Mungu..Yesu peke yake hakutenda dhambi, wengine wooote walitenda dhambi nyingi tu na bado Mungu aliendelea kuwaregard kuwa watumishi wa Mungu. KAMA MUNGU AKIHESEBU MAOVU, NANI ATASIMAMA JAMANI.....

watu wanasema kakobe anawakandamiza, lakini hajawalazimisha kuendelea kusali pale, si wahame kanisa...mbona huwa habembelezi na huwa anafukuza hata kufukuza mtu akifanya upuuzi? Tz ina uhuru wa kuabudu. Mimi siwezi kujaji jamaa bila kumsilikiliza yeye kwanza....

Ni upeo tu mdogo wa kutafakari na kukaririshwa mistari ya biblia badala ya kusoma mwenyewe kwa hekima. Hata Yesu wa Nazarethi aliwaambia mafarisayo msiwabebeshe watu mizigo mizito ambayo nyie mwenyewe hamuwezi kuibeba; msiwafungie watu njia ya kuingia mbinguni wakati nyie wenyewe hamuingii! Sisi wanadamu wote ni wakosaji ndio maana Mungu alileta msamaha ili tupate wokovu!
1. Kulikuwa na watakatifu wangapi wazao wa ISRAEL mpaka Mungu asichague wote hao amchukue MUSA kuwa mjumbe wake (wakati MUSA alishafanya mauaji?)
2. Mungu kwa nini alimwacha Daudi aendelee kuishi na ufalme wake na kumbariki wakati alifanya njama Uria auawe ili achukue mkewe?

Tuache unafiki wa Kakobe wa kuwa mtu wa mwilini badala ku-focus rohoni! Tazama ya kale yamepita na sasa yamekuwa mapya!
 
Back
Top Bottom