BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,802
Wanabodi,
Kumekuwa na hii habari nimekuwa nikiisikia mara kwa mara hivyo nimeleta hapa jukwaani kwakuwa wajuzi wa mambo mi wengi.
Je, ni kweli huyu IGP mstaafu alikuwa anamiliki na pamoja na kushirikiana na vikundi vingine vya ujambazi?
Wajuzi wa mambo karibuni
Kumekuwa na hii habari nimekuwa nikiisikia mara kwa mara hivyo nimeleta hapa jukwaani kwakuwa wajuzi wa mambo mi wengi.
Je, ni kweli huyu IGP mstaafu alikuwa anamiliki na pamoja na kushirikiana na vikundi vingine vya ujambazi?
Wajuzi wa mambo karibuni